Vipi I see huyu jamaa ako alifanikiwa kuwapata hao ng'ombe??Kuna jamaa yangu ameagiza hawa ngombe kutoka Germany hapa hapa arusha anataka kuanza biashara ya maziwa
Mkuu anao fleckvieh??nenda kijiji cha ifunda, iringa uliza tu kwa mzungu wa ngombe, anauza madume na mbegu(sperm anauza $3,000) pia na mara nyingi hupeleka ngombe wake huko kwenye maonyesho kenya na south africa.
Wapi huko kiongozi?Vipi I see huyu jamaa ako alifanikiwa kuwapata hao ng'ombe??
Usidanganyike hana aina hii ya ng'ombe kiongoziTembelea shamba la mheshimiwa Rais JK unaweza kukutana na aina hii ya ng'ombe maana ni mfugaji mzuri.
Sio kweli Arusha hawana huyu ng'ombe
Sio kweli Arusha hawana huyu ng'ombe
NAIC wanauza mashahawa tu
Naomba mawasiliano au hata link ya kupata hii taarifa..jamaa wa mkulimasmart wametoa tangazo kwamba wanaweza kuagiza fleckvieh toka Kenya.
..Kenya wanacho chama cha wafugaji na wazalishaji wa ng'ombe aina ya fleckvieh.
Naomba mawasiliano au hata link ya kupata hii taarifa
Fleckvieh hiyo ni habari nyingine ety
mdaula iko wap?Mbogo farm...wako mdaula .....tembelea instagram
Baada chalinze...kwenda Morogoro watafute instagram chukua number wapigie.....mdaula iko wap?