MAJIYAPWANI
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 966
- 1,225
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosema ni wapi naweza pata hayo matunda kwa Dar es Salaaam na je beibyake kiasi gani kuanzi robo, nusu, au kilo.
Asanteni.
Asanteni.
Asanteh kaka.Mku utapata soko la Kisutu
ntaibuka kisutu wikend moja....Beetroot na Komamanga yanapitishwa hata barabarani na wale wauza mbogamboga ila unaweza kwenda Kisutu Market kama uko hapa mjini Dar.
ntaenda kisutu inshallah.Kisutu au pale machinga complex kwenye soko la vyakula
Asanteh.Kisutu au pale machinga complex kwenye soko la vyakula
Kokomanga yanapatikanaga???
for my own personal use.Unataka yanini?
Nenda soko la Kisutu na Kinondoni TX, bei hulingana nafungu.Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosema ni wapi naweza pata hayo matunda kwa Dar es Salaaam na je beibyake kiasi gani kuanzi robo, nusu, au kilo.
Asanteni.
So, find in your bedroomfor my own personal use.
Soko la kisutu hukosi kitu mkuu!Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosema ni wapi naweza pata hayo matunda kwa Dar es Salaaam na je beibyake kiasi gani kuanzi robo, nusu, au kilo.
Asanteni.