komamanga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MAJIYAPWANI

    Naweza kupata wapi beet roots na komamanga kwa Dar?

    Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosema ni wapi naweza pata hayo matunda kwa Dar es Salaaam na je beibyake kiasi gani kuanzi robo, nusu, au kilo. Asanteni.
  2. Sildenafil Citrate

    Faida za Komamanga

    Komamanga ni mojawapo ya matunda yaliyodumu duniani kwa karne nyingi sana, kisayansi huitwa Punica granatum. Virutubisho Huwa na muunganiko mkubwa wa kemikali za phenolics, flavonoids, ellagitannins, na proanthocyanidin, pamoja na madini ya potassium, calcium, phosphorus, magnesium na sodium...
Back
Top Bottom