Katika maisha kuna mambo ambayo unatakiwa ukubaliane nayo kuwa hujafanikiwa kuyapata...mojawapo ni hili ambalo lakuamini kila uliyeanza nae mahusiano lazima uoane nae wakat yeye hakutaka hali hiyo....
Yeye kuzunguka sana na hatimaye kukupotezea akaenda olewa na kisha sasa ni mke wa mtu tena mwenye mtoto wa mtu huwezi msingizia shetan hapo na wewe ukikubali shetan kusingiziwa UTAKUWA NI MPUMBAVU....
Kuna nyakati ambazo MUNGU hukuepusha na hatari lakini kwa kiburi cha wanadamu hufuata madhara hayo,ninaona maumivu ya moyo unayoenda kuyapata na hata ya kimwili ikiwa utasimamisha shingo yako nakuendelea na MKE WA MTU.....majuzi kuna jamaa aliliwa watsap kwa kutembea na mke wa mtu katika mazingira kama haya unayoyahadithia,jamaa alijiua mchana kweupe kwa aibu aliyoipata..mke wa mtu ni sumu na maziwa yake nikuachana na mke wa mtu...
Ukitaka kujua kuwa huyo mwanamke ni mtu asiyejali maumivu ya mtu mwingine muambie na wewe unataka utafute mwanamke mwingine kisha uzae nae halafu ndo mje kuoana nae uone kama atakubali...
Lakini niseme kuwa MUACHE KIBURI ale malipo yake hayo ndo maisha aliyochagua...