bujaganoni
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 561
- 453
- Thread starter
- #101
Haya mambo si mchezo kaka, bado yupo yupo, saivi anataka eti anizalie mtoto tehHuyo hakufai kaka achana naye....labda kama unataka uwe na presha kwenye ujana wako
Haya mambo si mchezo kaka, bado yupo yupo, saivi anataka eti anizalie mtoto tehHuyo hakufai kaka achana naye....labda kama unataka uwe na presha kwenye ujana wako
Bomu tehbomu hilo mzee, kimbia fasta kabla halijalipuka