Uwajui kunguni mkuu, hao hawaishi kitandani tu wanaoccupy Kila sehemu ya nyumba, hata kwenye viatu utawakutaHawa wadudu kuna siku niliwafungia kazi, nilitoa vitu vyote nje.
Nikaziacha chaga n akitanda cha chuma nje usiku na mchana tena jua la Septemba lile wakaisoma namba.
Mvua zilivyoanza nikarudisha kila kitu ndani, sahivi mambo ni mwake
Ungepiga hicho kitanda maji ya MotoHawa wadudu kuna siku niliwafungia kazi, nilitoa vitu vyote nje.
Nikaziacha chaga n akitanda cha chuma nje usiku na mchana tena jua la Septemba lile wakaisoma namba.
Mvua zilivyoanza nikarudisha kila kitu ndani, sahivi mambo ni mwake
Uongo kunguni wengi ni ChademaHao kunguni amini usiamini wametumwa na ccm