Habari wana JamiiForums hope wote mpo poa ndugu yenu nina mabalaa apa ni mwez wa tatu huu cjalala kwa raha nimevamiwa na kungun hata cjui nifanyaje.
Balaa lilianza kama miezi mitatu iliopita nilikuwa nalala kwenye godoro ambalo halina foronya nikavamiwa na kungun nikawa silali vizuri nikaamua kununua foronya km zile za kwenye makoch ya magar ila kubwa enough kwa kufunika godoro hali ikaisha nikawa nalala raha mustarehe sasa sijui imekuwaje.
Kunguni wakajipanga sasa hivi foronya ipo lkn wanakuja juu sijui hata wanapita wapi nikawa najikuna usiku mzima nikaona isiwe kesi ngoja nikafue mashuka na foronya na godoro nikatoa nje lkn wapi hali ni ileile.
Nikasema ngoja nipige pas lakini mashuka bado jamaa wapo nikaenda kununua dawa moja hivi ya unga niliambiwa ni nzur nikamwaga unga kwenye godoro kitanda kizima kila kwenye tundu lakini hali bado tete nalala kwa shida yaan usiku imekuwa km series ya kujikuna kila siku niwaua kungun kwa kuwabinya watatoa harufu moja matata lkn wapi nimegundua kuna kungun wengine ni wadogo mno ivo ukifeel tu unawasha basi jua upo apo karibu utafeel anavyotembea.
Sasa naombeni mnisaidie nifanyaje
Balaa lilianza kama miezi mitatu iliopita nilikuwa nalala kwenye godoro ambalo halina foronya nikavamiwa na kungun nikawa silali vizuri nikaamua kununua foronya km zile za kwenye makoch ya magar ila kubwa enough kwa kufunika godoro hali ikaisha nikawa nalala raha mustarehe sasa sijui imekuwaje.
Kunguni wakajipanga sasa hivi foronya ipo lkn wanakuja juu sijui hata wanapita wapi nikawa najikuna usiku mzima nikaona isiwe kesi ngoja nikafue mashuka na foronya na godoro nikatoa nje lkn wapi hali ni ileile.
Nikasema ngoja nipige pas lakini mashuka bado jamaa wapo nikaenda kununua dawa moja hivi ya unga niliambiwa ni nzur nikamwaga unga kwenye godoro kitanda kizima kila kwenye tundu lakini hali bado tete nalala kwa shida yaan usiku imekuwa km series ya kujikuna kila siku niwaua kungun kwa kuwabinya watatoa harufu moja matata lkn wapi nimegundua kuna kungun wengine ni wadogo mno ivo ukifeel tu unawasha basi jua upo apo karibu utafeel anavyotembea.
Sasa naombeni mnisaidie nifanyaje