Naweza kuipata wapi dawa ya kunguni?

hawa wadudu noma sana, wataalam wanadai pia kuna uhusiano wa kunguni na nguvu za giza, ukiona kwenye nyumba wapo hao jamaa ujue hapo kuna hali flani ya giza-giza japo asilimia kubwa hawa wanaletwa na uchafu.
 
hawa wadudu noma sana, wataalam wanadai pia kuna uhusiano wa kunguni na nguvu za giza, ukiona kwenye nyumba wapo hao jamaa ujue hapo kuna hali flani ya giza-giza japo asilimia kubwa hawa wanaletwa na uchafu.
Duh inawezekana Lakini🙆
 
Yupo mama alisema yeye alitumia chumvi na mafuta ya taa sikumbuki vzr ni muda umepita sasa
 
Wakuu hivi ile dawa ya rungu tunayotumia kuua mbuu je inaweza pia kuua kunguni
 
Ingia duka la dawa za Mifugo

ULIZIA DAWA INAITWA DIAZINONE

UPEWE HIO HIO NA SIO VINGINEVYO

kama uko Dar nitafute 0744033555 nikumalizie shughuli kwa elfu 15 tu
 
Nakupa dawa moja ambayo wote mtaiona kama ni upuuzi ila utakuja kuleta mrejesho. Tumia DIESEL.
 
Kwani nyumba/chumba kimejengwa je.maana ushauri unatakiwa uendane na aina ya ujenzi wa nyumba,isije kuwa ni ya mbavu za mmbwa halafu nyie mnatoa ushauri wa nyumba ya tofali za cement na sakafu marumaru
 
Kuna UZI humu ulikuwepo zamanig Sana aisee kuna dawa mmoja ilipendekezwa Sanaa na wadau aisee ie dawa ndio adui mkubwa was Hawa waharibifu wa kiwanja Cha kuvunjia amri ya 6
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1].eti wanakuchukia yote kwa yote hiyo dawa nimeielewa nimeijaribu wanadadedi aisee...


Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Walio jaribu mbinu hiyo waulize Kilichowakuta, hakuna Wadudu Wanaweza vumilia njaa muda mrefu kama kunguni...hiyo siku utakayorudi ndio Wanafufuka sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hakuna rangi utaacha ona
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Nenda Ubungo, chini ya flyover kuna petrol station/oilcom, panda 1st floor kuna duka la kilimo ulizia dawa ya Kunguni nadhani inaitwa Nufan au Nuvan
Ni Kiboko
 
Nilihangaishwa na hawa wadudu kwa muda mrefu, nilituma kila dawa niliyoelekezwa za kienyeji na za kitaalamu bila mafanikio mpaka nilipokutana na mama mmoja anayeuza dawa ya asili ya kuua kunguni aisee! imebaki historia nililipa Tsh 1000 tu lakini kunguni waliisha Kabisa . Dawa ya huyu mama ni nzuri imeua soko la dawa za madukani mpaka wenye maduka ya kilimo hawampendi huyu mama.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…