Naweza kuanza tuisheni ya advance (PCB)

Naweza kuanza tuisheni ya advance (PCB)

Tuition na final result hazna uhusiano unaweza ukapga tuition uka make vile vile ukapga tuition na uka-differentiate constant kikubwa ni tecnics 2 kwenye usomaji
 
Kwanza natakunguliza shukran kwa wadau wa elimu ktk jukwaa hili mimi ni mwanafunzi niliyemaliza form four mwaka huu 2015 napenda kuuliza je ninaweza kuanza tuishen ya advance kwa mchepuo wa pcb hata kabla ya matokeo kwa sababu na itaji kujiandaa mapema ili nifanye vema advnce.....asante naombeni ushaur wadau

Dgo Tulia Kaa Nyumbani Utafakar Huku Co Kama O-level Tulia Mpaka Tokeo Litoke Unaweza Pangiwa Hkl Ucamini Macho Na Roho Yako Kjan Be Care !
 
Kwa habari ya 'twisheni' soma sana biology na physics. Ila biology iwe zaidi. Kemia haina shida sana na si lazima usome 'twisheni'.

usisahau, usije ukaweka 'weight' sawa kwenye kusoma hayo masomo matatu. Nazungumza kutokana na uzoefu.

Tafakari.

Unashangaza sana kijana unavyopotosha watu, yaani useme Chemistry ni rahisi anaweza kujisomea,
Advance sio kila mtu anakuwa sawa, ndomana wengine wanalala tu shule na bado wanafaulu, tena PCB, PCM, wengine wanasoma kila tuition na bado wanafeli.

Nimesoma PCB na nnaifahamu vizuri, ukiwa weak tu kwenye biology usijeiacha eti usome Physics na Chemistry, tena ubaya wa physics haina mazoea, huwa haijali umesoma vipi.
 
Nyie wenye viherehere ndo huwa mnagonga zero afu mnaanza kusingizia necta inabeba wakristo.
 
Duh una mudhuka!

Teh teh teh!Dogo kweli Ana mudhuka kama maasai. Anadhani kuwahi kukata mapindi ndio kutusua advance...wakati kuna watu walienda hata hawajasoma topic hata moja na wakaondoka na one #kufaulu ni destiny na si kuwahi kata mapindi
 
Nyie wenye viherehere ndo huwa mnagonga zero afu mnaanza kusingizia necta inabeba wakristo.
Wewe itakuwa ndio waleeeee wakufokafoka hovyo au itakuwa umevuta bangi mbichi UKRISTO Humu umeingiaje au ndio unawashwa tukuitie JUMA NYOSO aje akutekenye kidogo
 
Hahahaha!kijana unanifurahisha kweli kweli teh teh teh

jaman nahisi hamjanielewa mim kwa sasa nipo hom tu hvyo ninapo sema tuit nataka kaka yangu anifundishe kwa kuwa nimekua na hamu kubwa ya kusoma advane na pia ningependa zaidi mnishaur mliosoma PCB.PCM.PGM.CBG.EGM.CBN.CBA kwa kuwa wana uzoefu na jambo ninalolitaka
 
Nyie wenye viherehere ndo huwa mnagonga zero afu mnaanza kusingizia necta inabeba wakristo.

kuwa great thinkers dini na kusoma vimeingiaje hapo na pia na itaji ushauri na sio majungu ww kuwa msomi na umenikera
 
if possible dogo anza sasa maana huku juu walimu walo wengi hasa wa shule za serikal n shdah hawana data
 
jaman nahisi hamjanielewa mim kwa sasa nipo hom tu hvyo ninapo sema tuit nataka kaka yangu anifundishe kwa kuwa nimekua na hamu kubwa ya kusoma advane na pia ningependa zaidi mnishaur mliosoma PCB.PCM.PGM.CBG.EGM.CBN.CBA kwa kuwa wana uzoefu na jambo ninalolitaka

anza tu dogo coz mm nachukuwa pcb nipo kidoto cha sita muziki wa hayo masomo unataka muda
 
if possible dogo anza sasa maana huku juu walimu walo wengi hasa wa shule za serikal n shdah hawana data

Yah!kama ana nia ya dhati anaweza anza truly walimu wa masomo hayo ni wachache ila usome kijana masomo yote uyasome hasa physics bila kusahau BAM ni muhimu kutusua BAM ili kuchaguliwa kua Doctor
 
Bora ukae home subiri post nenda shule utakayopangwa kama ni tuition utasoma wakat wa likzo za form 5&6. Kwa nn nasema hv leo utasoma vitu vng huko tuition lakini utakapo anZa masomo yako ya A-levo inawezekana ukakosa kabida muda wa kuwa unafanya revision ya Yale ulofundishwa tuition. Bila shaka muda hautoshi kabisa kupitia Yale ya shule and at the same time ufanye revision mwisho wa siku kote unakosa. Ni ushauri wangu tu whether u take it on not it's upon yourself maana watu tunatofautiana bana.masomo mema kakaze msul dogo
 
Mkuu,

Tunawezakuwa na uzoefu tofauti. Hata miye nilisoma PCB na nilichomshauri ndiyo ilikuwa strategy yangu japokuwa miye sikusoma 'twisheni'. matokeo yangu ya mwisho yalireflect nilichokizungumza. Physics (A), Biology (B) na Chemistry (B).

Nadhani nilikuwa natoa ushauri tu kutegemeana na uzoefu na kujifunza 'strategy' walizokuwa wanatumia wengine na walichopata mwishoni. Kama vipi anaweza acha tu kuifuata. haina haja ya kulumbana.

Tafakari.

Unashangaza sana kijana unavyopotosha watu, yaani useme Chemistry ni rahisi anaweza kujisomea,
Advance sio kila mtu anakuwa sawa, ndomana wengine wanalala tu shule na bado wanafaulu, tena PCB, PCM, wengine wanasoma kila tuition na bado wanafeli.

Nimesoma PCB na nnaifahamu vizuri, ukiwa weak tu kwenye biology usijeiacha eti usome Physics na Chemistry, tena ubaya wa physics haina mazoea, huwa haijali umesoma vipi.
 
Mkuu,

Tunawezakuwa na uzoefu tofauti. Hata miye nilisoma PCB na nilichomshauri ndiyo ilikuwa strategy yangu japokuwa miye sikusoma 'twisheni'. matokeo yangu ya mwisho yalireflect nilichokizungumza. Physics (A), Biology (B) na Chemistry (B).

Nadhani nilikuwa natoa ushauri tu kutegemeana na uzoefu na kujifunza 'strategy' walizokuwa wanatumia wengine na walichopata mwishoni. Kama vipi anaweza acha tu kuifuata. haina haja ya kulumbana.

Tafakari.

"Unachowezafanya standalone usigeneralize kwa watu"
  • Tafakari pia.
 
Kama una uhakika wa kufaulu basi una uwezo mkubwa sana

I think you should rest, because you ll need the energy ukianza piga msuli

Tuition usome ukianza Alevel, to concentrate kwenye areas ambazo zimekupa shida
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom