Pure Scientific
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 716
- 644
Kwanza natakunguliza shukran kwa wadau wa elimu ktk jukwaa hili mimi ni mwanafunzi niliyemaliza form four mwaka huu 2015 napenda kuuliza je ninaweza kuanza tuishen ya advance kwa mchepuo wa pcb hata kabla ya matokeo kwa sababu na itaji kujiandaa mapema ili nifanye vema advnce.....asante naombeni ushaur wadau