Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,112
- 2,379
Wakuu nawasalimu,
Simu yangu (Samsung A50) ilipasuka camera so inatoa picha zenye ukungu, simu bado ni nzima kwa kila idara ba inakidhi mahitaji yangu isipokuwa huo ubovu wa camera pekee.
Sasa maswali yangu ni haya, Je inawezekana kufanya replacement ya camera? Je huko AliExpress naweza kupata? Niko Arusha, itanifikia vipi? Msaada wenu tafadhali, sina knowledge sana na mambo ya biashara za mtandao.
Simu yangu (Samsung A50) ilipasuka camera so inatoa picha zenye ukungu, simu bado ni nzima kwa kila idara ba inakidhi mahitaji yangu isipokuwa huo ubovu wa camera pekee.
Sasa maswali yangu ni haya, Je inawezekana kufanya replacement ya camera? Je huko AliExpress naweza kupata? Niko Arusha, itanifikia vipi? Msaada wenu tafadhali, sina knowledge sana na mambo ya biashara za mtandao.