exile kwa kosa gani. Mashtaka dhidi yake yatafutwa na sheria zitarekebishwa za uchaguzi (at least minimum reforms) na ataushiriki uchaguzi mkuu na wananchi wataamua. (kura ya mpigakura itathaminiwa)
siku zote Mungu ni MUNGU wa Haki, na daima huwa upande wa haki.
Hapana itakua concept mpya, na kwa character ya Lissu itakua big deal, huyu sio mtu wa kunyamazishwa kwa mapochopocho wala ahadi! Anajitambua sana huyu baba na hawezi kuwa tayari kuacha uzawa wake kwenda ugenini kwa sababu tu kuna watu wanataka kutumbua nchi bila bughudha. Angetaka si angechukua uraia Belgium au kwa wanae US yaishe, tena bila hata kulazimishwa na mtu!
Lissu sasa amekua pasua kichwa.
Kwann ufikirie kuwa anaweza kulazimishwa kwenda uhamishoni?
Na kwa nini alazimishwe? Je yeye mwenyewe atakubali kirahisi rahisi?
Hizo jumuhira za kitaifa na kimataifa zinazomtetea zitaielewa Tanzania?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.