mgonga
Senior Member
- Oct 26, 2018
- 174
- 560
Wakuu poleni na majukumu ya siku hii,kuna jambo moja linanifikirisha sana na ningependa kupata maoni yenu.
Jambo lenyewe ni hili,katika maisha haya ya kila siku,na tangu nikiwa mdogo nimeona hawa wenzetu wanao vaa miwani huwa wanakuwa na hulka ya kujisikia sana na kuringa ringa!! Nazungumzia wale wanao vaa miwani ya macho na sio ile ya mapambo!akisha vaa ile miwani hujiona kama ndo msomi flan,na kama ni wa kike basi maringo ndo yanakuwa mara mia moja zaidi!!
Sasa wakuu nisaidieni je huu ni uungwana?
NB;sijasema wote,baadhi yao,na naamini wengi mmekutana na hii kadhia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jambo lenyewe ni hili,katika maisha haya ya kila siku,na tangu nikiwa mdogo nimeona hawa wenzetu wanao vaa miwani huwa wanakuwa na hulka ya kujisikia sana na kuringa ringa!! Nazungumzia wale wanao vaa miwani ya macho na sio ile ya mapambo!akisha vaa ile miwani hujiona kama ndo msomi flan,na kama ni wa kike basi maringo ndo yanakuwa mara mia moja zaidi!!
Sasa wakuu nisaidieni je huu ni uungwana?
NB;sijasema wote,baadhi yao,na naamini wengi mmekutana na hii kadhia.
Sent using Jamii Forums mobile app