Mfichua siri
Senior Member
- Jun 19, 2012
- 135
- 62
"Matokeo yake yalikuwa mabaya kiasi kwamba hawezi kupata hata kujiunga na chuo cha Ualimu" Tafakari na uchukue hatua
Sasa hicho ndio kina wafanya wawe waoga wa maandamano mkuulakini nani mwenye kosa mwajiri ama mwajiriwa? manake kama ni cheti feki basi aliyeajiri ndiye mkosa wala si aliyeajiriwa.
Kuna wale wa vodafasta ndio Noma mkuu magamba Yao ni feki kwahiyo maandamano kwao ni sumuNani alikudanganya kuwa walimu wengi wa shule za msingi wamefoji vyeti? Acheni kuwadharau walimu wajameni, ndio waliowafikisha hapo mlipo.
Ni kweli swala kuu sasa ni jinsi gani ya kutoa elimu bora na si bora elimu! Juhudi za serikali zielekezwe huko, moja ya maoni yangu ni kuangalia uwezekano wa kuwaajiri walimu waliostaafu ambao bado wana nguvu kufanya kazi kwa mikataba. Kusema kuwa watawala wetu wanaongea tu is not fair sababu naamini enrollment ya walimu imeongezeka sana na moja ya vivutio walivyotoa serikali ni pamoja na kuwa wale walimu walioorodheshwa vyuoni watalipiwa tuition fees zao kwa jumla na si kukopeshwa kama wanafunzi wengine. Ingefaa hili lifanywe pia kwa madakatari na wahudumu wa afya kuongeza idadi yao, pamoja na hilo nakubaliana na wewe kuwa ni muhimu vilevile kuongeza uwezo kwa wale ambao wako kazini kwa sasa kwenda kwenye kozi na mafunzo mengine.
Ni kweli swala kuu sasa ni jinsi gani ya kutoa elimu bora na si bora elimu! Juhudi za serikali zielekezwe huko, moja ya maoni yangu ni kuangalia uwezekano wa kuwaajiri walimu waliostaafu ambao bado wana nguvu kufanya kazi kwa mikataba. Kusema kuwa watawala wetu wanaongea tu is not fair sababu naamini enrollment ya walimu imeongezeka sana na moja ya vivutio walivyotoa serikali ni pamoja na kuwa wale walimu walioorodheshwa vyuoni watalipiwa tuition fees zao kwa jumla na si kukopeshwa kama wanafunzi wengine. Ingefaa hili lifanywe pia kwa madakatari na wahudumu wa afya kuongeza idadi yao, pamoja na hilo nakubaliana na wewe kuwa ni muhimu vilevile kuongeza uwezo kwa wale ambao wako kazini kwa sasa kwenda kwenye kozi na mafunzo mengine.
Cha msingi mi nasema kugoma sio solution in the long run, sababu kama serikali ikiwakubalia walimu na madokta leo, kesho medereva, mesenja na wengine wakigoma itakuwaje? kwa sababu cha msingi hawa wanadai mishahara bora na tunajua kuwa uwezo wa serikali kulipa kila mtu kipato kizuri haupo. Hivyo narudia tena solution ni kuweka chombo huru kusimamia mishahara na posho za watumishi wote wa umma, hiyo itaondoa jukumu la kupanga mishahara toka serikalini na kukipa hicho chombo hilo jukumu na kuwa fair kwenye kupanga hiyo mishahara kwa kuangalia uwezo halisi wa serikali na mapato yake.