Serikali teueni walimu wawe wakurugenzi wa Halmashauri, watawasaidia sana

Nyamesocho

JF-Expert Member
May 5, 2023
476
1,244
Kada ambayo watu wake ni wasomi kwenye Taifa lolote ni walimu, walimu ni watu wasomi sana kuliko kada zingine zile na somo la uadilifu kwa walimu kuanzia mavazi mpaka lugha ya mazungumzo,vyuoni ni walimu pekee wanavaa vizuri,wanazungumza kimaadili sana tofauti na kozi zingine.

Walimu ni watu wanauelewa kuhusu mambo mbalimbali kuhusu Elimu, Afya, mazingira,uongozi na usimamizi,kutatua migogoro, kufanya maamuzi na ni walimu pekee licha ya kusomea ualimu wanasoma taaluma zingine na wanajua vitu na wana maarifa ya kutosha kuhusu taaluma zingine.

Asilimia 99 ya miradi shuleni inakamilika bila migogoro, angalia shule zinazojengwa au miradi ya shule mbalimbali huwa haifeli,na huwa inakamilika kwa wakati licha ya kukutana na vikwazo vya manunuzi, mainjinia na wanasiasa lakini mwalimu anakomaa mpaka mradi unafika so walimu ni wazalendo namba moja kwenye hii nchi.

Mheshimiwa Mchengerwa, shauriana na mama wapeni walimu ukurugenzi kwa asilimia 95 hamtojutia,na nyie wenyewe mnaona baadhi ya walimu ambao ni wakurugenzi wanavyochapa kazi.

Ili uamini hilo wakurugenzi wengi wanapokuwa nje ya ofisi huwakaimisha maafisa Elimu wa Wilaya kushika nafasi, wanajua hawatawaangusha tofauti na wakuu wa idara zingine.

Acheni kuteua kwa kuangalia ukada kwa kuchukua watu mitaani na kuwapa ukurugenzi,kila wiki utakuwa unatumbua.

NB: Mimi si mwalimu ila nina uzalendo na Taifa hili.
 
Naamini tuna shida ya kuwaza kisiasa kila mahala, tumeigeuza nchi kuwa ya siasa.

CCM shida yao kubwa ni kutawala kwa gharama yeyote na sio maendeleo ya Taifa hili (Maendeleo kwa maana ya nchi na ustawi wa watu wake).

Kifupi Watanzania ni mateka wa CCM, na maendeleo yatakuja tu siku CCM ikitoka madarakani.
 
Naamini tuna shida ya kuwaza kisiasa kila mahala, tumeigeuza nchi kuwa ya siasa.

CCM shida yao kubwa ni kutawala kwa gharama yeyote na sio maendeleo ya Taifa hili (Maendeleo kwa maana ya nchi na ustawi wa watu wake).

Kifupi Watanzania ni mateka wa CCM, na maendeleo yatakuja tu siku CCM ikitoka madarakani.
Lazima mifumo ibadilike ndo nchi hii iende kwa kasi
 
Kada ambayo watu wake ni wasomi kwenye Taifa lolote ni walimu, walimu ni watu wasomi sana kuliko kada zingine zile na somo la uadilifu kwa walimu kuanzia mavazi mpaka lugha ya mazungumzo,vyuoni ni walimu pekee wanavaa vizuri,wanazungumza kimaadili sana tofauti na kozi zingine.

Walimu ni watu wanauelewa kuhusu mambo mbalimbali kuhusu Elimu, Afya, mazingira,uongozi na usimamizi,kutatua migogoro, kufanya maamuzi na ni walimu pekee licha ya kusomea ualimu wanasoma taaluma zingine na wanajua vitu na wana maarifa ya kutosha kuhusu taaluma zingine.

Asilimia 99 ya miradi shuleni inakamilika bila migogoro, angalia shule zinazojengwa au miradi ya shule mbalimbali huwa haifeli,na huwa inakamilika kwa wakati licha ya kukutana na vikwazo vya manunuzi, mainjinia na wanasiasa lakini mwalimu anakomaa mpaka mradi unafika so walimu ni wazalendo namba moja kwenye hii nchi.

Mheshimiwa Mchengerwa, shauriana na mama wapeni walimu ukurugenzi kwa asilimia 95 hamtojutia,na nyie wenyewe mnaona baadhi ya walimu ambao ni wakurugenzi wanavyochapa kazi

Ili uamini hilo wakurugenzi wengi wanapokuwa nje ya ofisi huwakaimisha maafisa Elimu wa Wilaya kushika nafasi, wanajua hawatawaangusha tofauti na wakuu wa idara zingine

Acheni kuteua kwa kuangalia ukada kwa kuchukua watu mitaani na kuwapa ukurugenzi,kila wiki utakuwa unatumbua.

NB: Mimi si mwalimu ila nina uzalendo na Taifa hili
Kwa hiyo wewe mwalimu wa history ndo unataka upewe u DED kwamba una uelewa wa mambo mbalimbali.......tulia ufundishe vijana mwalimu.
 
Naamini tuna shida ya kuwaza kisiasa kila mahala, tumeigeuza nchi kuwa ya siasa.

CCM shida yao kubwa ni kutawala kwa gharama yeyote na sio maendeleo ya Taifa hili (Maendeleo kwa maana ya nchi na ustawi wa watu wake).

Kifupi Watanzania ni mateka wa CCM, na maendeleo yatakuja tu siku CCM ikitoka madarakani.

Watanzania ni mateka wa watawala wa ccm
 
Kada ambayo watu wake ni wasomi kwenye Taifa lolote ni walimu, walimu ni watu wasomi sana kuliko kada zingine zile na somo la uadilifu kwa walimu kuanzia mavazi mpaka lugha ya mazungumzo,vyuoni ni walimu pekee wanavaa vizuri,wanazungumza kimaadili sana tofauti na kozi zingine.

Walimu ni watu wanauelewa kuhusu mambo mbalimbali kuhusu Elimu, Afya, mazingira,uongozi na usimamizi,kutatua migogoro, kufanya maamuzi na ni walimu pekee licha ya kusomea ualimu wanasoma taaluma zingine na wanajua vitu na wana maarifa ya kutosha kuhusu taaluma zingine.

Asilimia 99 ya miradi shuleni inakamilika bila migogoro, angalia shule zinazojengwa au miradi ya shule mbalimbali huwa haifeli,na huwa inakamilika kwa wakati licha ya kukutana na vikwazo vya manunuzi, mainjinia na wanasiasa lakini mwalimu anakomaa mpaka mradi unafika so walimu ni wazalendo namba moja kwenye hii nchi.

Mheshimiwa Mchengerwa, shauriana na mama wapeni walimu ukurugenzi kwa asilimia 95 hamtojutia,na nyie wenyewe mnaona baadhi ya walimu ambao ni wakurugenzi wanavyochapa kazi.

Ili uamini hilo wakurugenzi wengi wanapokuwa nje ya ofisi huwakaimisha maafisa Elimu wa Wilaya kushika nafasi, wanajua hawatawaangusha tofauti na wakuu wa idara zingine.

Acheni kuteua kwa kuangalia ukada kwa kuchukua watu mitaani na kuwapa ukurugenzi,kila wiki utakuwa unatumbua.

NB: Mimi si mwalimu ila nina uzalendo na Taifa hili.
Naunga mkono hoja Wana uadilifu na wachapa kazi.

Hao wengine ni makanjanja tuu na mafisadi.
 
mkurugenzi ni managerial position, anapaswa kuwa na sifa za uongozi.

Serikali irudishe utaratibu wa kuteua principal officers wenye uzoefu na vigezo vya elimi badala ya hao vijana wababaishaji makada wa chama.
Huu ndio ukweli Mkurugenzi anatakiwa atokane na Senior officers tu lakini siku hizi imekuwa tofauti na utaratibu huu

Sent from my TECNO BF7 using JamiiForums mobile app
 
Kada ambayo watu wake ni wasomi kwenye Taifa lolote ni walimu, walimu ni watu wasomi sana kuliko kada zingine zile na somo la uadilifu kwa walimu kuanzia mavazi mpaka lugha ya mazungumzo,vyuoni ni walimu pekee wanavaa vizuri,wanazungumza kimaadili sana tofauti na kozi zingine.

Walimu ni watu wanauelewa kuhusu mambo mbalimbali kuhusu Elimu, Afya, mazingira,uongozi na usimamizi,kutatua migogoro, kufanya maamuzi na ni walimu pekee licha ya kusomea ualimu wanasoma taaluma zingine na wanajua vitu na wana maarifa ya kutosha kuhusu taaluma zingine.

Asilimia 99 ya miradi shuleni inakamilika bila migogoro, angalia shule zinazojengwa au miradi ya shule mbalimbali huwa haifeli,na huwa inakamilika kwa wakati licha ya kukutana na vikwazo vya manunuzi, mainjinia na wanasiasa lakini mwalimu anakomaa mpaka mradi unafika so walimu ni wazalendo namba moja kwenye hii nchi.

Mheshimiwa Mchengerwa, shauriana na mama wapeni walimu ukurugenzi kwa asilimia 95 hamtojutia,na nyie wenyewe mnaona baadhi ya walimu ambao ni wakurugenzi wanavyochapa kazi.

Ili uamini hilo wakurugenzi wengi wanapokuwa nje ya ofisi huwakaimisha maafisa Elimu wa Wilaya kushika nafasi, wanajua hawatawaangusha tofauti na wakuu wa idara zingine.

Acheni kuteua kwa kuangalia ukada kwa kuchukua watu mitaani na kuwapa ukurugenzi,kila wiki utakuwa unatumbua.

NB: Mimi si mwalimu ila nina uzalendo na Taifa hili.
Kwanini Walimu? Nafasi za Wakurugenzi zitangazwe mtu yo yote mwenye Sifa AOMBE

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Kada ambayo watu wake ni wasomi kwenye Taifa lolote ni walimu, walimu ni watu wasomi sana kuliko kada zingine zile na somo la uadilifu kwa walimu kuanzia mavazi mpaka lugha ya mazungumzo,vyuoni ni walimu pekee wanavaa vizuri,wanazungumza kimaadili sana tofauti na kozi zingine.

Walimu ni watu wanauelewa kuhusu mambo mbalimbali kuhusu Elimu, Afya, mazingira,uongozi na usimamizi,kutatua migogoro, kufanya maamuzi na ni walimu pekee licha ya kusomea ualimu wanasoma taaluma zingine na wanajua vitu na wana maarifa ya kutosha kuhusu taaluma zingine.

Asilimia 99 ya miradi shuleni inakamilika bila migogoro, angalia shule zinazojengwa au miradi ya shule mbalimbali huwa haifeli,na huwa inakamilika kwa wakati licha ya kukutana na vikwazo vya manunuzi, mainjinia na wanasiasa lakini mwalimu anakomaa mpaka mradi unafika so walimu ni wazalendo namba moja kwenye hii nchi.

Mheshimiwa Mchengerwa, shauriana na mama wapeni walimu ukurugenzi kwa asilimia 95 hamtojutia,na nyie wenyewe mnaona baadhi ya walimu ambao ni wakurugenzi wanavyochapa kazi.

Ili uamini hilo wakurugenzi wengi wanapokuwa nje ya ofisi huwakaimisha maafisa Elimu wa Wilaya kushika nafasi, wanajua hawatawaangusha tofauti na wakuu wa idara zingine.

Acheni kuteua kwa kuangalia ukada kwa kuchukua watu mitaani na kuwapa ukurugenzi,kila wiki utakuwa unatumbua.

NB: Mimi si mwalimu ila nina uzalendo na Taifa hili.
Hahahaha acha utani kiongozi. Rais wa kwanza wa Tanzania alikuwa Mwalimu, Rais wa pili Mwalimu, na rais wa awamu ya 5 alikuwa Mwalimu, Waziri Mkuu Mwalimu, Deputy waziri mkuu Mwalimu, rais wa awamu ya nne mke wake alikuwa Mwalimu, yaani kwa ufupi walimu ndiyo wamesababisha haya matatizo na mifumo yetu hii ya mtu kwenda ualimu akishakuwa failure ndiyo basi kabisa na uzuri hao hao waalimu viongozi wamewakandamiza waalimu mishahara midogo mazingira ya kazi magumu. Na ukienda halmashauri ukakuta kuna mwalimu amekuwa recategorized basi anakuwa mnoko balaa. Wanaofaa nafasi za ukurugenzi ni maafisa mipango tu! Wengine wote hawafai
 
Hakuna mwadilifu mbele ya pesa na mapenzi.

Wanaonekana waadilifu Kwa kuwa hawana pa kuiba.
Katika uchunguzi wangu walimu hawana tabia ya wizi,na wakurugenzi wengi wanapopelekewa miradi ya shule huwa hawana pressure tofauti miradi ikienda kwa watendaji wa vijiji, afya na idara zingine,huwa wanajua miradi ya elimu itaenda vizuri kwa sababu ya usimamizi mzuri wa walimu
 
Back
Top Bottom