Rylee
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 519
- 972
Everything is okey... God is beautifulMissed you too VIO, how are you? How is life treating you?
How have you been??
Everything is okey... God is beautifulMissed you too VIO, how are you? How is life treating you?
Nawatakia kila la heri na baraka kwenye sikukuu hizi mbili ziwe zenye furaha kubwa, amani na utulivu na wale wote muwapendao.
Wapagani kaziniHeri na baraka zitoke wapi kwenye sherehe ya kipagani?
Heri na baraka zitoke wapi kwenye sherehe ya kipagani?
Nimeuliza swali.Ungekaa Kimya ingetosha, kwanini huwa unapenda sana kukosoa dini za wenzako?? Ya kwako ndio bora zaidi?? Ndio maana mnaongoza kwa kujilipua
So good to have you back and i am glad everything is okey with you.Life is good I can’t complain, and ready to celebrate Xmas and New Year.
Ndugu zenu hao!Heri na baraka zitoke wapi kwenye sherehe ya kipagani?
Jibu swali wacha kuhororoja bila mpango.Ndugu zenu hao!
Hao wenye X mass ni wapagani wenzenu!!Jibu swali wacha kuhororoja bila mpango.