Nawasihi sana Mnishauri WanaJF

Nawasihi sana Mnishauri WanaJF

mbuyula

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2014
Posts
389
Reaction score
68
CV yangu haina experience, najaribu kutafata hata sehemu nijitolee nipate uzoefu naona ugumu ni ule ule. Tatizo hata nikifanya interview ya kazi isiyohitaji ulazima wa experience utasikia kipaumbele alipewa mwenye uzoefu ndo kapata kazi.

Nafikiria kudanganya experience na kujipanga jins ya kujitetea, maana maisha yamekuwa magumu sana.

Je kuna madhara yoyote?
 
Hapo ndio maisha yanapozidi kua magumu, hawa wenye makampuni yao kitu wanachotaka ni uzoefu, kwani mtu anazaliwa na uzoefu? Mtu amemaliza kusoma leo uzoefu atautoa wapi? Kuna wengi ni wafanyakazi wazuri wanakosa kuajiriwa, labda serikali iangalie kuondoa hili.
 
kifupi ni kukomaa fanya hiyo kitu ni vizuri kuthubutu unaweza ukawa unaongeza experience ukafoji hata kampuni kaka ila cha msingi ni kuwa na confedence na big idea about hiyo kampuni au hata kampuni uliyofanya field ukafoji kama uko hapo unafanya intership mm mshafanya enzi sina mchongo nikaitwa kwenye hiyo ila nilikataa kwani nilishapata kwingine jaribu hakuna kinachoshindikana chini ya jua
 
Unaweza fanya hvyo kwan ajira nw zmekuwa ngumu sana..bt uwe na uwezo wa kukumbuka hcho utakachoandika na kuomba Mungu tu.
 
asanteni sana mlionishauri hapo juu, naendelea kupokea ushauri jamani
 
walau volunteer mahali then ongea na hr wa kampuni unayotaka kufoji (kuongeza muda ie miez 2 unaweza sema mwaka) experience,then do it,mengine utajua mbele ya safari
 
walau volunteer mahali then ongea na hr wa kampuni unayotaka kufoji (kuongeza muda ie miez 2 unaweza sema mwaka) experience,then do it,mengine utajua mbele ya safari

anhaa kumbee...
 
Umesomea nini? Labda Kuna mtu angetaka free labor hapa na wewe ukafaidika?
 
nimesoma procurement. nahusika kwenye procurement, logistics, store au warehouse management

pole ndugu yangu jitaidi kutembelea Zoom Tanzania kila siku pamoja na gazet la mwanchi au Daily news! Kitaeleweka tu!
 
Back
Top Bottom