Wakuacha
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 2,046
- 1,340
Vyangu vinatoa maji nn shida mkuu.Vinatoa maji?
Vyangu vinatoa maji nn shida mkuu.Vinatoa maji?
mkuu hv vipele vya aina hii vimenitokea hata sijui nifanye nn?Kama hivi ?
![]()
Daah mkuu wahi hospital maana hapa siwezi kukupa notes maana vipo vingi vinafanania asa nawezasema hivi kumbe kwa muonekano ni tofauti.fanya uwahi hospital utapatiwa dawa.mkuu hv vipele vya aina hii vimenitokea hata sijui nifanye nn?