Neema j swai
Senior Member
- Mar 27, 2017
- 177
- 103
- Thread starter
- #21
Daaah sijui nikusaidieje maana situmii simu, ngoja wajuvi wakuelekeze..
Daaah sijui nikusaidieje maana situmii simu, ngoja wajuvi wakuelekeze..
Nmejarbu nmeweza
Yan unakuta sehemu moja vimejitenga vpele vidogodogo sana kama vinne au sita ninavyokuna vinakauka vinaacha doa jeuc vinatoka vingne kama 1 ukikuna kinazaa wenzake kama watano hv vinajtenga yan dizain kama vishilingi kama una vifahamu ila xaxa hv tofaut yake ni vdogo cyoakubwa kama shling naomba nielekeze nitume pc sahv
Hapana ktu nlichokula cha tofaut hv karbun ambacho cjawah tumiaga ni blueband hz za kweny makopo ya pembe 4 zilizoandkwa pestige xaxa cjui nayo ndo chazoJe, umekula carrot kipindi cha hivi karibuni?
Asante nmenunua Leo albendazol nlipanga nmeze asubui xo unanishaur nimeze au nikapme kwanza maana vinawasha naona had aibu kujikuna mbele za watu wacjesema cjaoga bureHiyo allergies acha kula vitimoto na samaki WA maji chumvi kacheki na minyoo
Asante mpenz ubarkiwe nitafanya hvyoNakuonea huruma mdogo wangu (Una jina la mdogo wangu)
Yeye wifi yako alikua na kama vibarango vinakua kama vidonda ukivigusa anaumia, Vilikua Kifuani, kwenye mapaja na Kidogo usoni.
Vilikua vikikauka vinaacha baka leusi.
Ushauri. Anza kuumeza Vidonge vya Vitamin B (Vile vya kuleta hamu ya kula vutakusaidia vinatibu ugonjwa wa ngozi pia)
Asante mpenz ubarkiwe nitafanya hvyo
Sawa ucjalUlete mrejesho Barikiwa🙂
Uliyenaye nani uyo usiku huuUshamba mzgo ndugu yang nmeshapga ila cjui natumaje naomba nielekeze alaf niliyenaye hapa naye hajui jinsi ya kutuma
Hapana hv vnatsha had nmeogopa nmetuma pc angaliaNijib fast vipo kama hivi
![]()
Ni vdogodogo vya kwang yan mpak unichunguze sana kwa karbu ndoutavionaNijib fast vipo kama hivi
![]()
Mdogo wangUliyenaye nani uyo usiku huu
Kama hivi ?Ni vdogodogo vya kwang yan mpak unichunguze sana kwa karbu ndoutaviona
Hapana ni kama vishilingi siunafahamu vishilingi cyo vkubwa hvyoKama hivi ?
![]()
Mbona nmetuma pc angalia utavionaHapana ni kama vishilingi siunafahamu vishilingi cyo vkubwa hvyo