Nawashwa na vipele vidogo mwilini

Nawashwa na vipele vidogo mwilini

Kapime mKuu,, upo ugonjwa mmoja wa kujamiana unaitwa BULUNETI,, au kaswende,,, kwa dalili hzo hutoki,,,, kapime damu,, wacha kulialia ndani ya chandarua,,,,
 
Pole sana dada, lakini nakushauri bora uende kwanza Pharmacy kesho unaweza kupata dawa yake.
 
Mbona nmetuma pc angalia utaviona
Ok kwa kuwa unaogopa kwenda hospigal kesho fanya yafuatayo:
1.Nenda duka la dawa nunua dawa inaitwa Erythromycin utaandikiwa na dozi ake.
2.halafu nunua moja ya dawa hizi za kusafishia hizi vidude
Potassium permanganate,
Gentian violet ya maji 0.5%,
Betadine solution,
Sodium chloride solution(maji ya chumvi wanaiitaga ?.

Nakushauri umuone daktar lakin japo nimekupa maelezo ya tiba sahihi.
Usiku mwema.
 
Ok kwa kuwa unaogopa kwenda hospigal kesho fanya yafuatayo:
1.Nenda duka la dawa nunua dawa inaitwa Erythromycin utaandikiwa na dozi ake.
2.halafu nunua moja ya dawa hizi za kusafishia hizi vidude
Potassium permanganate,
Gentian violet ya maji 0.5%,
Betadine solution,
Sodium chloride solution(maji ya chumvi wanaiitaga ?.

Nakushauri umuone daktar lakin japo nimekupa maelezo ya tiba sahihi.
Usiku mwema.
Asante mpenz ubarikiwe sana
 
Kama hauna HIV, kama hauna kaswende basi hiyo ni alergy. Hata mm napata shida kama hyo nimeshapima HIV mara 4 tangu May 2017 mpaka sasa, hamna. Kaswende ni msamiati kwangu. But nimeambiwa ni alergy so nisaidie kujua inasababishwa na nn. Hamna dawa ya kusababisha visitokee hivyo but ipo dawa ya kupunguza madhara vikitokea. Dawa inaitwa Betamethasoline and Salicylic Acid Ointment kama sjakosea.
 
65% inaweza kua kaswende but make sure unapima kwanza maabara

kama itakua ni kaswende dawa nzuri ni erythro..
 
Kama hauna HIV, kama hauna kaswende basi hiyo ni alergy. Hata mm napata shida kama hyo nimeshapima HIV mara 4 tangu May 2017 mpaka sasa, hamna. Kaswende ni msamiati kwangu. But nimeambiwa ni alergy so nisaidie kujua inasababishwa na nn. Hamna dawa ya kusababisha visitokee hivyo but ipo dawa ya kupunguza madhara vikitokea. Dawa inaitwa Betamethasoline and Salicylic Acid Ointment kama sjakosea.
Asante my, vp kuna wakat ulikuwa unaskia pia kama vle unatembelewa na wadudu mwilini?
 
Pole sana jaribu kwenda kwa mafamasia waonyeshe hizo dalili watakupa Dawa!
Lkn pia kwa 50% hivi inaweza kuwa minyoo na 50% nyingine inaweza kuwa allergy au 100% hiyo inaweza kuwa ni hiyo blueband maana nyingi zinakuwa tayari zishaexpire kwa hiyo ni kuwa makini wakati wa kuzitumia....
Asante ukinishukru pia usisite kuniita mpenji
 
Pole sana jaribu kwenda kwa mafamasia waonyeshe hizo dalili watakupa Dawa!
Lkn pia kwa 50% hivi inaweza kuwa minyoo na 50% nyingine inaweza kuwa allergy au 100% hiyo inaweza kuwa ni hiyo blueband maana nyingi zinakuwa tayari zishaexpire kwa hiyo ni kuwa makini wakati wa kuzitumia....
Asante ukinishukru pia usisite kuniita mpenji
Hahahahaha una vtuko ww umenifanya nmecheka wakat nilikuwa nimenuna aya asante mpenz wang ubarkiwe sana
 
Dada allergy hiyo,Nashangaaga wadada weng wanaogopaga kwenda Hosp hata wakizidiwa ndo wanapelekwa,MM NAKUSHAUR USINUNUE DAWA PHARMACY Bali nenda Hosp upate ushaur kwanza,HUENDA UNATUMIA SPRAY YA AINA MOJA KWA MDA MREFU,au UMEBADILISHA KARIBUNI...mda mwngne huenda sàbabu za kimazingira kuhama shm 1 kwenda nyngne(hapa vyakula vitachangia pia,na unaweza kuta UNAPATA HIVI VIPELE VIDOGOX2 KAMA VIMCHANGA hadi kweny mashavu ya papuchi au mapajà).


NENDA HOSP ,unaweza pata ushaur WA ziada,au wakakufanyia skin culture Kujua matatizo madogomadogo ili yasikutokeee daima.....

Niko ktk kubembeleza pendhi

Priceless Soul
 
Dada allergy hiyo,Nashangaaga wadada weng wanaogopaga kwenda Hosp hata wakizidiwa ndo wanapelekwa,MM NAKUSHAUR USINUNUE DAWA PHARMACY Bali nenda Hosp upate ushaur kwanza,HUENDA UNATUMIA SPRAY YA AINA MOJA KWA MDA MREFU,au UMEBADILISHA KARIBUNI...mda mwngne huenda sàbabu za kimazingira kuhama shm 1 kwenda nyngne(hapa vyakula vitachangia pia,na unaweza kuta UNAPATA HIVI VIPELE VIDOGOX2 KAMA VIMCHANGA hadi kweny mashavu ya papuchi au mapajà).


NENDA HOSP ,unaweza pata ushaur WA ziada,au wakakufanyia skin culture Kujua matatizo madogomadogo ili yasikutokeee daima.....

Niko ktk kubembeleza pendhi

Priceless Soul
Asante mpenz kweny papuch cna yan hv vpele sana sana viko mgongon na tumbon huku kwingne labda kimoja kimoja papuch iko fresh had ukishka unateleza very smooth
 
Back
Top Bottom