Nawashwa na vipele vidogo mwilini

Nawashwa na vipele vidogo mwilini

Neema j swai

Senior Member
Joined
Mar 27, 2017
Posts
177
Reaction score
103
Habari zenu wapendwa, naomben ushauri mwenye kujua hili, ni wiki ya pili hii natokewa na vipele vidogodogo mwilini vinajikusanya vinatengeneza duara kama vile vishilingi, vinawasha sana vinakaa kama siku 3 vinakauka vinaacha alama nyeusi vingine vinaibuka vipya ni mwili mzima mgongoni na tumboni ndio zaidi yani ni alama vishilingi sijui yani hata sielewi siku zinavyozidi kwenda naona vinaongezeka msaada jamani.

Natanguliza shukran kwa watakao nipa ushauri.
 
Pole sana,Jaribu kuonana na madakitari wa Ngozi, watakusaidia.

If possible Fanya hata kesho kabla mambo hayajawa magumu zaidi.
 
Habari zenu wapendwa naomben ushaur mwenye kujua hili, ni wik ya Pili hii natokewa na vipele vidogodogo mwilini vinajikusanya vinatengeneza duara kama vle vishilingi vinawasha sana vinakaa kama cku 3 vinakauka vinaacha alama nyeusi vingne vinaibuka vipya ni mwili mzma mgongon na tumbon ndozaid yan ni lama vishilingi cjui yan hata sielew siku znavyozd kwenda naona vnaongezeka msaada jaman, Natanguliza shukran kwa watakao nipa ushaur
Wewe ni Ke au Me, Kama ni Ke Je unaumwa Ngoja sugu la Zinaa? au
 
Neema.
Naomba upige picha kidoa kimoja nione ambacho bado hakijakauka.

Eifi yako alitokewa na ugonjwa kama huo mwezi uliopita, katumia dawa kapona. Weka picha nione then kama ni wenyewe Nikuelekeze dawa.

Sio Lazima lakini🙂
Habari zenu wapendwa naomben ushaur mwenye kujua hili, ni wik ya Pili hii natokewa na vipele vidogodogo mwilini vinajikusanya vinatengeneza duara kama vle vishilingi vinawasha sana vinakaa kama cku 3 vinakauka vinaacha alama nyeusi vingne vinaibuka vipya ni mwili mzma mgongon na tumbon ndozaid yan ni lama vishilingi cjui yan hata sielew siku znavyozd kwenda naona vnaongezeka msaada jaman, Natanguliza shukran kwa watakao nipa ushaur
 
Neema.
Naomba upige picha kidoa kimoja nione ambacho bado hakijakauka.

Eifi yako alitokewa na ugonjwa kama huo mwezi uliopita, katumia dawa kapona. Weka picha nione then kama ni wenyewe Nikuelekeze dawa.

Sio Lazima lakini🙂
Ushamba mzgo ndugu yang nmeshapga ila cjui natumaje naomba nielekeze alaf niliyenaye hapa naye hajui jinsi ya kutuma
 
Neema.
Naomba upige picha kidoa kimoja nione ambacho bado hakijakauka.

Eifi yako alitokewa na ugonjwa kama huo mwezi uliopita, katumia dawa kapona. Weka picha nione then kama ni wenyewe Nikuelekeze dawa.

Sio Lazima lakini🙂
Yan unakuta sehemu moja vimejitenga vpele vidogodogo sana kama vinne au sita ninavyokuna vinakauka vinaacha doa jeuc vinatoka vingne kama 1 ukikuna kinazaa wenzake kama watano hv vinajtenga yan dizain kama vishilingi kama una vifahamu ila xaxa hv tofaut yake ni vdogo cyoakubwa kama shling naomba nielekeze nitume pc sahv
 
Habari zenu wapendwa naomben ushaur mwenye kujua hili, ni wik ya Pili hii natokewa na vipele vidogodogo mwilini vinajikusanya vinatengeneza duara kama vle vishilingi vinawasha sana vinakaa kama cku 3 vinakauka vinaacha alama nyeusi vingne vinaibuka vipya ni mwili mzma mgongon na tumbon ndozaid yan ni lama vishilingi cjui yan hata sielew siku znavyozd kwenda naona vnaongezeka msaada jaman, Natanguliza shukran kwa watakao nipa ushaur
Je, umekula carrot kipindi cha hivi karibuni?
 
Back
Top Bottom