Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Waungwana wote mlionitakia Tahfif kwenye Msiba ulionipata nakushukuruni sana kwa wema wenu. Mamndenyi na FP nao nawashukuru sana hasa kwa utayari wao wa kutaka kuja Msibani. Aaagh! JF bwana inanoga sana ikiwa hivi ilivyo. Watu wengine mkionana wanaanza "kumbe Kigarama ana midevu kama Osama halafu haichani!"
Kwa kweli nakushukuruni nyote mlioguswa. Nilishangaa watu kuhisi Ushairi hauhusiani na maisha yetu ya kila siku na wengi walidai "nilidhani ni shairi tu". Watu wa Mashariki ya kati kwa kawaida huwasiliana sana kwa mashairi hata sisi huko nyuma tulikuwa ni jamii ya washairi.!!
Kwa kweli nakushukuruni nyote mlioguswa. Nilishangaa watu kuhisi Ushairi hauhusiani na maisha yetu ya kila siku na wengi walidai "nilidhani ni shairi tu". Watu wa Mashariki ya kati kwa kawaida huwasiliana sana kwa mashairi hata sisi huko nyuma tulikuwa ni jamii ya washairi.!!
Last edited by a moderator: