cold water
JF-Expert Member
- Oct 6, 2021
- 323
- 1,128
Kuna michango ya Wana ndugu nilikua naichangisha,huu mwezi wa 6 tarehe 30 inabidi niikabidhi,aisee bby wangu si akafiwa na mama ake na inabidi watoe michango akawa na akiba kidogo Sana ikabidi mimi nichukue michango ya ndugu nimpe Ili afanikishe zoezi la kuzika,
Hapa nasubiri mshahara nilipe kabla ya tarehe thelathini dah nilishukuru Sana Mungu Kwa hili maana na mimi sikua na akiba yeyote zaidi ya miamala ya ndugu na sitaki wajue chochote kuhusu michango yao kama nimetoa msibani,kikubwa ku replace kuwapa pesa zao
Hapa nasubiri mshahara nilipe kabla ya tarehe thelathini dah nilishukuru Sana Mungu Kwa hili maana na mimi sikua na akiba yeyote zaidi ya miamala ya ndugu na sitaki wajue chochote kuhusu michango yao kama nimetoa msibani,kikubwa ku replace kuwapa pesa zao