ki2kizito
Member
- Nov 28, 2016
- 60
- 41
Habari za kushinda wanaJF,
Imekuwa ni kawaida ya wanasiasa wa hapa kwetu kuahidi mambo makubwa wanapokuwa kwenye mikusanyiko mbalimbali kama vile majimboni, vijiweni na sehemu zingine, lakini wanaahidi wakijua kabisa kuwa mambo wanayoahidi hayawezekani.
Hivi wanakuwa wanatujaribu sisi tunaoahidiwa au ni sehemu ya maisha ya siasa?
Imekuwa ni kawaida ya wanasiasa wa hapa kwetu kuahidi mambo makubwa wanapokuwa kwenye mikusanyiko mbalimbali kama vile majimboni, vijiweni na sehemu zingine, lakini wanaahidi wakijua kabisa kuwa mambo wanayoahidi hayawezekani.
Hivi wanakuwa wanatujaribu sisi tunaoahidiwa au ni sehemu ya maisha ya siasa?