Yaani hii inaumiza sana, jana nimeangalia news, wakulima wanaandamana kwa amani kudai haki zao, eti polisi na bunduki na mabomu ya machozi wanakwenda kuwazuia!! Hii ni haki kweli? Kuna mzee mmoja aliongea kuwauliza maaskari kama ni haki wanavyofanya, yule mzee aliongea kwa uchungu sana, nilitokwa machozi sana. Hivi mbona wale wezi wa ESCROW wao hawakufanyiwa hivi? Hivi amani ya nchi yetu mbona serikali inaipoteza lakini? Hii nchi inakwenda wapi? Jamani 2015 tufanye kweli.:sad::sad::sad::sad::sad::sad::sad::sad: