johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,875
Miongoni mwa mabasi yaliyokuwa yanawika miaka ile ya 80 ni pamoja na Rombo Investments bus.
Kiukweli nimeshuhudia mabadiliko makubwa hapa Rombo na huu ni uthibitisho kuwa maendeleo hayana vyama
Hongereni mbunge mstaafu Mh Selasini, CHADEMA na CCM.
Naendelea ku-enjoy sikukuu za mwisho wa mwaka jioni hii nitakuwa pale Kanisani kwa ajili ya kitubio (ungamo)
Mungu awabariki nyote!
Kiukweli nimeshuhudia mabadiliko makubwa hapa Rombo na huu ni uthibitisho kuwa maendeleo hayana vyama
Hongereni mbunge mstaafu Mh Selasini, CHADEMA na CCM.
Naendelea ku-enjoy sikukuu za mwisho wa mwaka jioni hii nitakuwa pale Kanisani kwa ajili ya kitubio (ungamo)
Mungu awabariki nyote!