tatizo siyo kuchanganya ni kwamba nimepiga mixer halafu sijala!! ndio mana wenge jingi.embu ngoja nilale kesho nahisi nitaamka freshi. gud nyt kabakabana. ninakupenda pia. usimaind tchao!
tatizo siyo kuchanganya ni kwamba nimepiga mixer halafu sijala!! ndio mana wenge jingi.embu ngoja nilale kesho nahisi nitaamka freshi. gud nyt kabakabana. ninakupenda pia. usimaind tchao!
nikiingiaga jf somtime huwa nashindwa hata kumaliza kazi zangu. Mfano jana kuna jamaa alikuwa analinganisha dhahabu na mkonge,alinitoa povu,ckupata hata kumalizia kazi zangu nilizozianza.