Nawapenda wote

bado naendelea nazo tatizo umechanganya na spirit of the nation zinakupeleka pabaya

tatizo siyo kuchanganya ni kwamba nimepiga mixer halafu sijala!! ndio mana wenge jingi.embu ngoja nilale kesho nahisi nitaamka freshi. gud nyt kabakabana. ninakupenda pia. usimaind tchao!
 
tatizo siyo kuchanganya ni kwamba nimepiga mixer halafu sijala!! ndio mana wenge jingi.embu ngoja nilale kesho nahisi nitaamka freshi. gud nyt kabakabana. ninakupenda pia. usimaind tchao!

usimaind ndo nini?
 
Tunakupenda pia, na Mungu akubariki!
 
tunakupenda pia. Mungu aendelee kukubariki na kukuongoza.

nikiingiaga jf somtime huwa nashindwa hata kumaliza kazi zangu. Mfano jana kuna jamaa alikuwa analinganisha dhahabu na mkonge,alinitoa povu,ckupata hata kumalizia kazi zangu nilizozianza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…