Unaweza ukawa unamiliki simu ya gharama sana bila kujua ni feki...watu wana iphone 6 plus, samsung note, htc ambazo ni feki.Mimi siongei sana ikifika july ndio utajua kama simu yako ni feki au original.Kenya hakuna simu feki siku hizi na Tz pia very soon itakua hvyo.Stay tuned.