Nawaonea huruma WANAWAKE wa aina hii

Nawaonea huruma WANAWAKE wa aina hii

Last KING Ontuzu

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
731
Reaction score
1,198
Wanawake wengi siku hizi mitandao mmekuwa mkilalamikia sana swala la kutokufikishwa na waume zenu,imekuwa kilio kwa wanawake kutofurahishwa na show za waume zao, nikweli kuna wanaume hawasimamii vzr show lakini pia kuna shida kubwa mnaitengeneza wenyewe bila kufahamu shida hiyo inakuja kuwagharimu sana katika maisha yenu

Kuna Utafiti niliusoma mahali unaeleza kuwa wanawake wengi ambao walishatembea na Wanaume wengi kabla ya ndoa huishi bila furaha kwenye ndoa zao.
Mwanaume alivyoumbwa alitofautishwa na mwanamke kimaumbile
Uboo wa mwanaume hata atembee na wanawake 10 kwa siku hauwezi kuchakaa ama kuisha ama kubadilika kwa namna yoyote.
sasa mwanamke kwanini ushindane na mwanaume!!?

Iwapo utatumia hovyo maungo yako ,kwakutaka kila saizi uingize kumbuka tuu kuwa ya kwako yanalegea k yako inapanuka na Kutengeneza bonge la Bwawa mpaka inafikia mahali baadhi ya mashine unakuwa huzisikii tena yaani zinakuwa zinaelea tuu wakati wa mechi [emoji23][emoji23][emoji23]ndipo utataka saizi kubwa zaidi lakini nazo zitaonekana vibamia tuu coz K ishakuwa sugu na imelegea

Hivi Ukija kuolewa utakuwaje?
Kuna Uwezekano mkubwa kuja kuishi kwenye ndoa isiyo na furaha sababu hutafurahia tena lile tendo.Utaanza kuhaha kuchepuka tuu


Acheni mambo ya kuweka pesa mbele eti mwanaume ilimradi pesa yake tuu, tumieni ujana wenu vizuri binti unaona uzuri wako ndo kila kitu mmesahau kuna muda mtakuwa mabibi Siku ukichoka hutapata tena mtu wa kukuhonga.. na Wanaume hawatakutaka tena hata Ukitangaza unagawa bure ,
Na wengi wenu hata siyo wazuri make up tuu zinawabeba na dawa za kichina [emoji23][emoji23]So Pesa siyo kila kitu bhana
Mtu sahihi ni Bora kuliko hizo pesa mnazokimbilia.
 
Aiseee kama taifa bado tuna safari ndefu, muda mchache na mambo ni mengi
 
Huu ujembe ulouleta washaambiwa sana ila sasa wanawake wa siku hizi hawasikilizi watasoma na kupita.
 
IMG_9677.JPG
 
Inaonesha mkuu ujawai shudia malaya wanaolewa na wanakaa kwenye ndoa vizuri ..ni shida tuu zinapelekea watoe papuchi
 
Mkuu ..hiyo energy ulio tumia kuwa elimisha bora ungeenda kumpigia mbuzi gitaa angeburudika ..walisha ambiwa sana hawa..lakini mabadiliko sifuri

But time will tell
 
Back
Top Bottom