Nawaona sasa tecno wamejirekebisha, toleo la Tecno spark K7 ni tishio lingine kutoka kwao

thread ya pili hii, ile ya kwanza umeikimbia, hii simu ipo overpriced kwa kitu unachopata, tulishaizungumzia huko nyuma, kwa bei zaidi ya laki 2 simu yenye 1GB ram, bila 4G sidhani kama ni kitu kizuri.

hata kile kimeo cha samsung grand prime plus kina specs nzuri kuliko hii,

kama upo budget kama hii tafuta tu xiaomi redmi note 4A utapata ram 2GB angalau na wewe u enjoy android. utapata 4G, soc nzuri ya snapdragon 425, na tena unaweza ipata bei rahisi zaidi.
Nimenunua k9 INA ram ya 2gb kwa 270000# NATO ni bei kubwa!?
 
385293111e90383874e2bfc58348585b.jpg
Huku ndo penyewe
 
hiyo ni angalau, ila still inaachwa mbali na simu za xiaomi au Huawei (Honor series) za bei moja.
Siwez kununua Huawei kwabsababubya battery. Tuwe was kweli mkuu, mm nikikuwa natumia Blackberry na Huawei ninapofanya kazi na nilikuwa ni mfanyakaz pekee ambaye naenda na chaja kazini wenzangu almost wrote walikuwa na Tecno walikuwa wanadunda tu. Niliamua kuja Tecno week moja iliyopita naona naenjoy tu. Kwa iyo naona kuchukia Tecno inaweza kuwa stereotype tu.
 
Siwez kununua Huawei kwabsababubya battery. Tuwe was kweli mkuu, mm nikikuwa natumia Blackberry na Huawei ninapofanya kazi na nilikuwa ni mfanyakaz pekee ambaye naenda na chaja kazini wenzangu almost wrote walikuwa na Tecno walikuwa wanadunda tu. Niliamua kuja Tecno week moja iliyopita naona naenjoy tu. Kwa iyo naona kuchukia Tecno inaweza kuwa stereotype tu.


Operation hama SAMSUNG
 
Siwez kununua Huawei kwabsababubya battery. Tuwe was kweli mkuu, mm nikikuwa natumia Blackberry na Huawei ninapofanya kazi na nilikuwa ni mfanyakaz pekee ambaye naenda na chaja kazini wenzangu almost wrote walikuwa na Tecno walikuwa wanadunda tu. Niliamua kuja Tecno week moja iliyopita naona naenjoy tu. Kwa iyo naona kuchukia Tecno inaweza kuwa stereotype tu.
hakuna mahusiano baina ya brand name na kukaa na chaji,

-ukiwa na kioo chenye resolution ndogo basi kitatumia chaji kidogo lakini pia unayasumbua macho kwa kuangalia vitu visivyo na quality, hivyo mwenyewe chagua unataka picha nzuri ama simu inayokaa na chaji? unatafuta mwenyewe sweet spot

-processor iliyotengenezwa kwa manufacturing process ya kisasa itatumia umeme kidogo na simu itakaa na chaji

-ukiwa na battery kubwa simu itakaa na chaji.

-processor isio na nguvu inatunza chaji ila simu ipo slow.

Tecno wao wana
-cpu slow
-battery kiasi
-vioo vya quality ndogo
-cpu za kizamani zinazokula chaji.

hivyo hata ukaaji chaji wake ni kiasi.

mfano wa simu inayotick box hizo hapo juu nyingi ni samsung galaxy j7 ya 2016 au 2017 hii screentshot yake

pQznIuZ.jpg


hapo amekaa siku mbili na masaa 8 hajachaji simu, na still kuna asilimia 34 na ukiangalia hio picha estimated masaa 14 kabla haijazima chaji, hivyo hii simu inaweza kaa siku 3 na chaji kwa matumizi madogo ya kupiga, kupokea, whatsapp etc.

tuma na wewe screenshot yako nzuri ya tecno inayoonyesha battery kama hio.
 
Aidha wewe ni mtu wa marketing Tecno au ni Tecno ndo wanaendesha hii a/c maana huu ni uzi wa pili unazisifia hizo cheche!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom