Malinzi ikitokea umerudi ( japo ni ngumu sana ) , Mkumbuke Frank Wanjiru .Msingi wa soka ni timu za vijana Malinzi kajitahidi sana kwa hili kukuza na kuweka misingi mizuri kwa soka la vijana na matokeo yake hayataonekana kwa muda mfupi huu,soka la wanawake kajitaidi mpaka kulifufua hili ambalo lilikuwa lishakufa,timu ya Taifa kajitahidi kila awezalo ikiwa ni pamoja na kuleta makocha wa nje na ndani,kugharamia kambi ya timu nje na ndani pamoja kutoa posho stahiki ambapo jambo hili huko nyuma lilikuwa na mshike mshike mpaka bakuli litembezwe. Pia amejitahidi sana kupunguza migogoro ya vilabu na vyama vya soka mikoani ikiwemo TTF yenyewe. Ligi kuu kuonyeshwa live,kutafuta wadhamini kila kona kusaidia vilabu na timu ya Taifa. Kufanikiwa kutupatia nafasi ya kuwa mwenyeji wa u17, kufanya maboresho mbalimbali ya ligi na baadhi ya viwanja. Hayo ni machache tuu yapo mengi.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Kuifikisha serengeti robo finalNaomba kuyafahamu japo kwa uchache mazuri yaliyofanywa na Malinzi .
Umepotea jukwaa ?kama kwa malinzi unajuta hv, je kwa lowaxa si ndo ungeungama hadi kwa padri?
Atake asitake...Malinzi nje mwaka huu we subiriWanjiru hataki .
Akili zao size ya kisoda,walikuwa wanalalamika uYanga wa Malinzi sasa hivi wamesahau wanataka kumweka Mayai Yanga mwingine.Mashabiki wa Simba kwa kuweweseka siwawezi
Narudia kusema tena siku ya uchaguzi masaa mawili tuu baada ya kura kupigwa Malinzi tayari kashawapiga KO wapinzani wake maana Hugo Mayai namfananisha na wakina Hashimu Rungwe na Fahmu Dovutwa kwenye mbio za urais wa Tanzania.Malinzi ikitokea umerudi ( japo ni ngumu sana ) , Mkumbuke Frank Wanjiru .
Malinzi ndio mchonga vinyago vyote hivyo halafu leo vimtishe haya yatakuwa maajabu.Atake asitake...Malinzi nje mwaka huu we subiri
subiri uchaguzi mkuuMalinzi ndio mchonga vinyago vyote hivyo halafu leo vimtishe haya yatakuwa maajabu.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Mmejipanga kugawa rushwa ?Narudia kusema tena siku ya uchaguzi masaa mawili tuu baada ya kura kupigwa Malinzi tayari kashawapiga KO wapinzani wake maana Hugo Mayai namfananisha na wakina Hashimu Rungwe na Fahmu Dovutwa kwenye mbio za urais wa Tanzania.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Huyu ni kiongozi wa kampeni wa Malinzi hapa Jf .subiri uchaguzi mkuu
Hahaha anatetea maslahiHuyu ni kiongozi wa kampeni wa Malinzi hapa Jf .
Kizuri kinajiuza,kibaya chajitembeza.Mmejipanga kugawa rushwa ?
Na wewe ni mpinga Malinzi Mkuu hapa JF?Huyu ni kiongozi wa kampeni wa Malinzi hapa Jf .
Wahaya sio watanzania na hawana sifa za kuongoza?Malinzi alifanya TFF kama kijiwe cha Wahaya
Mkuu ni watanzanianila aliwaweka wengi mno hadi ikaonekana kama Wahaya tu ndiyo wenye sauti hapo TFFWahaya sio watanzania na hawana sifa za kuongoza?
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Kurejesha pointi tatu za Kagera kwa mshindi halali.Naomba kuyafahamu japo kwa uchache mazuri yaliyofanywa na Malinzi .