Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
Malinzi yuko selo Oysterbay polis anashikiliwa na Takukuru kwa matumizi mabaya ya ofisi....Nilikuwa mmoja wa wadau wa soka tuliopambana kufa na kupona kuhakikisha kwamba Jamal Malinzi anashinda urais wa TFF , Tulipambana kwa udi na uvumba , Kwa hali na mali hadi tukafanikiwa .
Lakini kwa madudu yaliyotokea kwenye uongozi wake , nimeona nijitokeze mbele yenu ndugu zangu kuwaombeni sana radhi kwa hujuma hii tuliolifanyia soka la Tanzania , mtoto akinyea mkono usiukate , Naahidi sitorudia tena kufanya madudu ya kumbeba mtu yeyote asiye na uwezo kwa vile tu ni Mfanyabiashara mwenzangu .
Wito wangu kwa wadau wa soka wa Tanzania , hakikisheni mnachagua mtu mwenye uwezo wa kuongoza , na mwenye kuzijua hasa changamoto za soka la nchi hii.
Niko tayari kusaidia upande wowote wa kambi ya mgombea yeyote mwenye weledi na mwenye maono ya kusukuma soka la Tanzania mbele zaidi.
Mungu ibariki TFF .
Nakushukuru kwa Taarifa mkuu , niko njiani kwenda kumtoa , kabla ya jioni atakuwa huru .Malinzi yuko selo Oysterbay polis anashikiliwa na Takukuru kwa matumizi mabaya ya ofisi....
nilikuambia kuhusu faili lake Mr Malinzi pale Upnga ukabisha, sasa ataungana na wengine kujibu tuhumaWewe kaa pembeni na tunashukuru sana kwa msaada wako kipindi kile,kwa sasa tupo wengine tuliojitolea kumuweka tena ili amalizie yale mazuri aliyoyaanzisha japokuwa wewe huyaoni.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Ha! Ha! Ha!nilikuambia kuhusu faili lake Mr Malinzi pale Upnga ukabisha, sasa ataungana na wengine kujibu tuhuma
Eid Mubaraka mkuu !
kaka mkubwa kwema? ahsante kwa kutuomba RADHI,sie watu wa mpiraHa! Ha! Ha!
Kwema mjomba , nawashukuru sana kwa kunisamehe , kutenda kosa si kosa , kosa ni kurudia kosa .kaka mkubwa kwema? ahsante kwa kutuomba RADHI,sie watu wa mpira
Nakushukuru kwa Taarifa mkuu , niko njiani kwenda kumtoa , kabla ya jioni atakuwa huru .
ni kweli kabisa mjomba,natumai ile dhamira yako yakugombea pale msimbazi ipo badoKwema mjomba , nawashukuru sana kwa kunisamehe , kutenda kosa si kosa , kosa ni kurudia kosa .
Usikurupuke mkuu , tulia kwanza halafu tafakari .Mashabiki wa Simba kwa kuweweseka siwawezi
Ha! Ha! Ha!Muache uko mpaka ijumaa.
Mkuu naona umepata nguvuUsikurupuke mkuu , tulia kwanza halafu tafakari .
Hatuandiki tu kama wengi wanavyofikiria .Mkuu naona umepata nguvu