Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,326
- 4,787
Hapa Jamvi haipiti wiki hujaona umeshushwa uzi kidole kaelekezewa Mwanaume.
Kidole cha lawama na mashambulizi makalimakali, maneno kama :
> Wanaume hawaridhiki.
> Wanaume wengi baadhi yao hawatosheki.
> Wanaume wengi baadhi yao malaya. N.k
Husikika maneno kama haya with releated matter ! Nachukua fursa hii kukubali lawama hizo na nitoe mifano michache visababishi vya hayo yanayolalamikiwa.
1. Mume amerudi kunako kazi/mihangaiko ana mfuko wa mazagazaga mkononi huamki kumpokea wala nini.
2. Anakusalim "habari za hapa" unajibu "nzuri" umemaliza, huku domo umelivuta kutoka hapo ulipokaa kwenye kochi hadi linakaribia kugusa screen ya Tv, kisa umeomba akufanyie safari uwende kwenu kwenye harusi ya mdogo wako ukaambiwa haitowezekana kwa kua financial mambo sio January iko mbele shughuli za kifedha zitakua nyingi.
3. Kufuatia visirani kuongezeka kinachofata ni unaanza kumjibu majibu ya dry yanayomtia mwanaume hasira na mnaanza kutupiana maneno yanayozaa bifu kamili.
4. Kinachofata ni kutogusana kitandani. Ambapo Biological organs hazitambui bifu lenu.
5. Kinachofata mwanaume ni kuangalia atakapopata utulivu! Anaanza ku'cheat .
6. Kama inavyokua wanawake wanaobahatika kuangukiwa na waume wa wenyewe hujituma isivyo kawaida ufundi atakaoupata kule hujikuta kwako haupati.
Anaanza kulowea hadi mke unajua.
Hapa nani mchawi ? Kama sio wanawake wenyewe ?
Kidole cha lawama na mashambulizi makalimakali, maneno kama :
> Wanaume hawaridhiki.
> Wanaume wengi baadhi yao hawatosheki.
> Wanaume wengi baadhi yao malaya. N.k
Husikika maneno kama haya with releated matter ! Nachukua fursa hii kukubali lawama hizo na nitoe mifano michache visababishi vya hayo yanayolalamikiwa.
1. Mume amerudi kunako kazi/mihangaiko ana mfuko wa mazagazaga mkononi huamki kumpokea wala nini.
2. Anakusalim "habari za hapa" unajibu "nzuri" umemaliza, huku domo umelivuta kutoka hapo ulipokaa kwenye kochi hadi linakaribia kugusa screen ya Tv, kisa umeomba akufanyie safari uwende kwenu kwenye harusi ya mdogo wako ukaambiwa haitowezekana kwa kua financial mambo sio January iko mbele shughuli za kifedha zitakua nyingi.
3. Kufuatia visirani kuongezeka kinachofata ni unaanza kumjibu majibu ya dry yanayomtia mwanaume hasira na mnaanza kutupiana maneno yanayozaa bifu kamili.
4. Kinachofata ni kutogusana kitandani. Ambapo Biological organs hazitambui bifu lenu.
5. Kinachofata mwanaume ni kuangalia atakapopata utulivu! Anaanza ku'cheat .
6. Kama inavyokua wanawake wanaobahatika kuangukiwa na waume wa wenyewe hujituma isivyo kawaida ufundi atakaoupata kule hujikuta kwako haupati.
Anaanza kulowea hadi mke unajua.
Hapa nani mchawi ? Kama sio wanawake wenyewe ?