Nawanyoshea kidole wanawake msitafute mchawi.

Nawanyoshea kidole wanawake msitafute mchawi.

Ndugu unayoyasema ni sahihi kabisaaaa,
1.Laiti kama wanawake wangegundua kuwa mwanaume ni kama mtoto,utakavyo mlea vizuri hata kupita mahali anywe bia moja ataona anachelewa nymbani.
2.Wanaume wengi wanasingizia kazi nyingi ili tu wachelewe kurudi nyumbani japowakute Vuvuzela limesinzia.
3.Kati ya kitu ambacho mwanaume hapendi ni kupigiwa kelele aukufokewa.
KWAKWELI HAKUNA HAJA YA KUTAFUTA MCHAWI.
 
dada vyangu I wish ungeweza kufungua akili za watu ukana jinsi ndoa zinavyokuwa mzigo muda mwingine.Nakwambia hivyo nikiwa na ushahidi.Kama kunasababu kwanini usiiseme kama mwanamke anayejua maana ya ndoa?Unakuta mtu amekaa na jambo hata wiki nzima,Jaribu kubembeleza ujue tatizo lipo wap ili urekebishe,unanuniwaaaaaa mpaka basi.Maisha gani hayo sasa?Bora ukatafute Faraja nje.
 
Nijuavyo mm mwanamke aliyempenda mmewe mpaka kuolewa nawe na mwanamke muelewa anayeijua thaman ya ndoa yake hawezi from no where akanza vituko km hivyo,lzm kuna chanzo cha tatizo,watu tunatofautiana km mwanaume umeshajua mapungufu ya mkeo tafuta namna kumweka sawa mapema na kuwa na mawasiliano mazuri na kuwa mnamaliza tofauti ndogo ndogo zinazotokea kabla hayajawa makubwa na kumpelekea kuanza vituko na mwanaume kuchiti km suluhisho!wanawake huwa hawafanyi jambo bila sababu!

Cantalisia! Bahati mbaya hizi debate tunazifanya mitandaoni, but niamini haya ndiyo yalio halisi tukutanayo katika jamii zetu. Mf. Halisi wa internal conflicts nimeuweka hapo mtu unakuta 2010 umemsafirisha kwao abt 4 trips.
Trip 1 ya harusi, 2 ya msiba, 3 arobaini, 4 kusalimia. 2011 kaenda kwao mara 2 hii Decembar anataka kwenda kwenye harusi kumwambia hauko fit ugomvi hadi hamsemeshani! Ham'do ! Hebu nambie suluhisho namie kibaolojia sipitishi siku 3 bila kugonga! Nikagonge wapi !
 
ila kweli wanawake visirani vinatuponza kwenye nyumba. ilo sina upinzani cz kila kitu kina ukweli.

Iv mwenze2 unaweza ukaamka 2 afu ukawa na kisiran tena kwa mumeo bila sababu ya msing mh litakuwa pepo ilo mamie. we endelea wajanja watamuwah mumeo afu ndio litakutoka ilo pepo. unanuna kwa sababu jaman sio unanuna tuu mh. ndoa zitawashinda mapema mbona.
 
Wakati mwengine tatizo hwa pande zote.... Solution si kununa ila KUWA MUWAZI NA KUSEMA NA MWENZI WAKO. Tena kwa upole kwamba kuna tatizo hili na hili, mimi huwa sipendi kitu hiki na co kwa kufoka. Na mwanaume anatakiwa kuuliza kwa upole kulikoni bibie kuna kitu kimekukwaza unajua wengine huwa tunakuwa kimya tusipouliza ila tukiulizwa ndo hapo tunafunguka......
 
@judgement,hapo tatizo liko wazi hakuna ushirikishwaji hasa ktk kipato cha familia,km ungemshirikisha angekuwa kila wakati anajua mmewe yuko kwenye position gani ya kipato,hawezi kuja na request za ajabu km kweli ni mke mwenye cfa za mke na co msichana,pili km mnashirikiana mtakua na vipaumbele kulingana na kipato chenu so km yuko awere hawezi kukurupuka!alafu km mume unatakiwa kujua mapungufu ya mkeo na namna ya kudili nayo sio kukimbilia kuchiti!alafu mwanamke anayenuna badala ya kushiriki kutafuta suluhu nina wasiwasi na uanamke wake,na siku zote mwanamke mwelewa lzm atatauta amani ya ndoa yake kabla ya wakati wa kulala.
 
sawa tunkubali hamuwezi kununa bila sababu,tatizo linakuja unapoulizwa mamaa whats wrong wewe unajibu nothin halafu unanuna zaidi.sasa mnategemea tubluetooth akili zenu kujua sababu?
 
craaap. . Mwanamke harudi amechoka? Haya mawazo mgando ndo yanasababisha matatizo we kwa nn uwaze kucheat tu!
 
Nijuavyo mm mwanamke aliyempenda mmewe mpaka kuolewa nawe na mwanamke muelewa anayeijua thaman ya ndoa yake hawezi from no where akanza vituko km hivyo,lzm kuna chanzo cha tatizo,watu tunatofautiana km mwanaume umeshajua mapungufu ya mkeo tafuta namna kumweka sawa mapema na kuwa na mawasiliano mazuri na kuwa mnamaliza tofauti ndogo ndogo zinazotokea kabla hayajawa makubwa na kumpelekea kuanza vituko na mwanaume kuchiti km suluhisho!wanawake huwa hawafanyi jambo bila sababu!

na kusikiliza umbea wa saluni je? Mi wangu haruki!! Nikimshikia kiuno tu,anapiga goti!
 
Huu ndo uungwana, hongera kwa kuwa mkweli Sister! Natamani ningekupa zawadi ya x-mass kwa uungwana wako, natumaini ni funzo kwetu sote.
ah Edo kumbe unatamani, mi nilidhani unataka kunipa zawadi ya x-mas.
 
Hapa Jamvi haipiti wiki hujaona umeshushwa uzi kidole kaelekezewa Mwanaume.
Kidole cha lawama na mashambulizi makalimakali, maneno kama :
> Wanaume hawaridhiki.
> Wanaume wengi baadhi yao hawatosheki.
> Wanaume wengi baadhi yao malaya. N.k
Husikika maneno kama haya with releated matter ! Nachukua fursa hii kukubali lawama hizo na nitoe mifano michache visababishi vya hayo yanayolalamikiwa.
1. Mume amerudi kunako kazi/mihangaiko ana mfuko wa mazagazaga mkononi huamki kumpokea wala nini.
2. Anakusalim "habari za hapa" unajibu "nzuri" umemaliza, huku domo umelivuta kutoka hapo ulipokaa kwenye kochi hadi linakaribia kugusa screen ya Tv, kisa umeomba akufanyie safari uwende kwenu kwenye harusi ya mdogo wako ukaambiwa haitowezekana kwa kua financial mambo sio January iko mbele shughuli za kifedha zitakua nyingi.
3. Kufuatia visirani kuongezeka kinachofata ni unaanza kumjibu majibu ya dry yanayomtia mwanaume hasira na mnaanza kutupiana maneno yanayozaa bifu kamili.
4. Kinachofata ni kutogusana kitandani. Ambapo Biological organs hazitambui bifu lenu.
5. Kinachofata mwanaume ni kuangalia atakapopata utulivu! Anaanza ku'cheat .
6. Kama inavyokua wanawake wanaobahatika kuangukiwa na waume wa wenyewe hujituma isivyo kawaida ufundi atakaoupata kule hujikuta kwako haupati.
Anaanza kulowea hadi mke unajua.
Hapa nani mchawi ? Kama sio wanawake wenyewe ?



siku zote mwenye macho haambiwi tazama,

na mwenye kusikia haambiwi neno................................kazi ni kwako
 
Iv mwenze2 unaweza ukaamka 2 afu ukawa na kisiran tena kwa mumeo bila sababu ya msing mh litakuwa pepo ilo mamie. we endelea wajanja watamuwah mumeo afu ndio litakutoka ilo pepo. unanuna kwa sababu jaman sio unanuna tuu mh. ndoa zitawashinda mapema mbona.
na siyo kila sababu lazima unune, na kuna sababu unaweza kuona ya kununa kumbe mwenzio anaona ya kawaida. na sijasema kama mim niko hvyo ila nimeongelea kwa uelewa wangu na watu niliowaona wengi wao wako hvyo.
 
ila kweli wanawake visirani vinatuponza kwenye nyumba. ilo sina upinzani cz kila kitu kina ukweli.



mwanamke na kisirani ni kama samaki na maji jinsi wanavyopatana.................................
 
na siyo kila sababu lazima unune, na kuna sababu unaweza kuona ya kununa kumbe mwenzio anaona ya kawaida. na sijasema kama mim niko hvyo ila nimeongelea kwa uelewa wangu na watu niliowaona wengi wao wako hvyo.


mkiwa mnakubali ukweli huu, hakika mnapendeza sana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom