Nawakumbusho: MAGUFULI DAY ni kesho

Nawakumbusho: MAGUFULI DAY ni kesho

Kesho ni siku muhimu sana ya kukumbuka mtanzania aliyekuja kuleta mabadiriko ya fikra , alikuja ghafla na kuondoka ghafla.

Kuna mengi sana ya kujifunza toka kwake, na ameacha alama nyingi ambazo hazita futika katika taifa hili.


RIP Dr John Pombe Magufuli, Rais wa Tanzania Nov 5 2015- March 2021.

Kesho ni siku ya kutafakari fikra zake .

Je ni mafanikio yapi ameyaacha ambayo ni tofauti na Marais wengine?View attachment 2936503View attachment 2936504View attachment 2936505View attachment 2936506
Hakuna Magufuli day nchi hii, hiyo kafanye na mkeo. Kuna Nyerere day tu nchi hii
 
Back
Top Bottom