G - The Apostle
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 606
- 1,146
Kwamba ?Hadi leo tunaambiwa Yuko ikulu aanachapa kazi
Kwamba ?Hadi leo tunaambiwa Yuko ikulu aanachapa kazi
🤣🤣🤣🤣🤣Wewe ni mmoja wa wale Lucas Mwashambwa anaowaelezea mnavyobubujikwa na machozi!Mimi hapa machozi yananibubujika.. Kila nikifikiria kesho ya watoto wetu.. Nazidi kutokwa na machozi..
Tumaini lote lililoanza kujengeka limepotea kama moshi upoteavho angani
SawaJifunze kuishi na watu ambao hamfanani mawazo na mitazamo ili usiugue ukichaa.
Hujitambui wewe.Hakuna mtu mwenye akili timamu atamkumbuka huyu Bedui.
Huku ninyi mnapatiwa psychological torturing!Nyumbu watatimua mbio hatari
I beg to differ. Mi nina akili, nitamkumbuka kwa maovu yote yaliyotokea yeye akiwa in charge.Hakuna mtu mwenye akili timamu atamkumbuka huyu Bedui.
Kosa lake ni nini hadi asikumbukwe?Hakuna mtu mwenye akili timamu atamkumbuka huyu Bedui.
Ulikatazwe usisome mpaka ukafoji vyeti?Hakuna mtu mwenye akili timamu atamkumbuka huyu Bedui.