Nawakumbusho: MAGUFULI DAY ni kesho

Nawakumbusho: MAGUFULI DAY ni kesho

RiP John
Screenshot_20240317-051904.jpg
 
Vijana wahovyo mlokosa malezi Bora ya kumuabudu na kumtegemea Mungu mmetumwa na shetani ili watu waogope kusema ukweli wasifie uovu! Go to hell !!!
Shetwan hajawahi na hatowahi kushinda...
Don't sell your soul to win the world,wisdom is better than silver and gold!!
 
Vijana wahovyo mlokosa malezi Bora ya kumuabudu na kumtegemea Mungu mmetumwa na shetani ili watu waogope kusema ukweli wasifie uovu! Go to hell !!!
Shetwan hajawahi na hatowahi kushinda...
Don't sell your soul to win the world,wisdom is better than silver and gold!!
Kuhusu malezi bora,tusiwalaumu wazazi,walezi wala waangalizi wao.Hayo ni mapepo wanayamiliki kwenye umri wao ukubwani.Hawapendi kujifunza na kuelewa dhana nzima ya kukubaliana kutokukubaliana bila kuzuliana rabsha.
 
Mental retardation is a real case.

Mnaokula sana ugali huwa mnapata tabu yanapokuja mambo ya msingi.

Mfano wewe unajaribu kudiscredit kazi ya mtu ambaye hata ukipewa nafasi kuishi mara mbili huwezi fikia hata nusu ya achiement yake.

It's just a waste of resources and energy to argue with an idiot like you.

Maana huna uwezo wa kuelimika ukaelewa.

Ubongo wako umelemazwa na ugali.
Hivi leo ugali ndiyo kimekuwa chakula cha kubezwa namna hii kweli?Kwa hiyo unashauri chakula gani kilicho chema zaidi kiliwe kustawisha akili njema?
 
Back
Top Bottom