Nawakumbusha tuuuuu...kesho church

Nawakumbusha tuuuuu...kesho church

SI unit

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
1,953
Reaction score
767
10462492_10152563064062888_978179207848605681_n.jpg
 
wanaharibu biashara ya watu
 
wanawake ( women) na wanaume ( men); jinsia ya kike (female) na ya kiume ( male).
 
Haingii akilini kabisa mtu unajua unaenda katika nyumba ya ibada halafu unavaa mavazi ambayo si ya heshima utadhani unaenda kudate au club.sijui ni ulimbukeni au ni maksudi??
 
Nimecheka hapo kwenye nguo zenye picha za kutisha. Kumbe hata nembo ya AON inatisha!. Ila nachojua jezi zote za michezo yote,zimekatazwa.
 
Back
Top Bottom