donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,519
Ngoja nisolve moja baada ya jingine halafu baadaye nitashusha majibu hapa...
na mimi namshangaa kwani zile za magazijuto hazipo siku hizi...!
!
sifa tu lione kwanza.
nasubili nisahihishe
Nilipofika hapa ndo nikazikimbia hesabu...
Heheh kama ulifika hadi huku basi ulijitahidi maana hii makitu ni ya A-Level au Chuo...
Wale waliosoma Additional O-Level waliinusa nusa tu kwa mbaliiiii
hapo ndo utajua hesabu sio mchezo..
uzee wenu tabu sana.. hii mikitu haikuwepo..Unaona sasa,... mi nilidhani ni za darasa la kumi na mbili.., nazijua basi!?
wewe umekimbia BAM....Nilipofika hapa ndo nikazikimbia hesabu...
haya tusolvie moja basi!Hiki cha m-kid, kuna akina Mshimba, utashaa