Nawaachia Homework wale wa mambo yetu yaleee back in days (still got it?).....!!!!!

donlucchese

JF-Expert Member
Mar 23, 2011
17,047
21,519
xsa.jpg
 
Nilipofika hapa ndo nikazikimbia hesabu...

Heheh kama ulifika hadi huku basi ulijitahidi maana hii makitu ni ya A-Level au Chuo...

Wale waliosoma Additional O-Level waliinusa nusa tu kwa mbaliiiii
 
Heheh kama ulifika hadi huku basi ulijitahidi maana hii makitu ni ya A-Level au Chuo...

Wale waliosoma Additional O-Level waliinusa nusa tu kwa mbaliiiii

Unaona sasa,... mi nilidhani ni za darasa la kumi na mbili.., nazijua basi!?
 
Back
Top Bottom