Nauza zulia bei poa kabisa

Nauza zulia bei poa kabisa

pettymarcel

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2012
Posts
2,161
Reaction score
883
Habari wakuu nauza zulia lenye rangi ya cream ukubwa ni meter mbili na nusu kwa moja na nusu
Mahali lipo moshi ila kwa aliyoko mwanza naweza mletea coz ninasafari za uko mikoa mingine nitakutumia kwa basi bei elfu 75 tu
b2c69db2b8f154fc14964dabf23c3865.jpg

Chek me WhatsApp kwa 0763772636
Karibuni sana
 
Halionekani vizuri hapo. Kwa uzoefu mjini meter 1 ni 45000 to 47000.Kwa bei hiyo unayouza ni nzuri kama siyo used.
 
Halionekani vizuri hapo. Kwa uzoefu mjini meter 1 ni 45000 to 47000.Kwa bei hiyo unayouza ni nzuri kama siyo used.
Not used at all kwa picha zaidi mwenye kuhitaji anichek WhatsApp kwa 0763772636
 
e9878e54926033964dfd217b33945cae.jpg

Muonekano wa zulia kwa upande wa mbele na nyuma ni jipya na sio Yale ya kukata haya ni Yale read made meter mbili na nusu kwa moja na nusu kwa mawasiliano nichek WhatsApp 0763772636
 
65692512d917670234ff5c76032757b3.jpg
upande wa mbele ni Yale mazulia soft ya manyoya sio Yale ya kukata hii bei ni sawa na bure ukizingatia bado jipya
 
Habari wakuu nauza zulia lenye rangi ya cream ukubwa ni meter mbili na nusu kwa moja na nusu
Mahali lipo moshi ila kwa aliyoko mwanza naweza mletea coz ninasafari za uko mikoa mingine nitakutumia kwa basi bei elfu 75 tu
b2c69db2b8f154fc14964dabf23c3865.jpg

Chek me WhatsApp kwa 0763772636
Karibuni sana
Zuria bado ipo na uko wapi ni kuchek kesho nifate
 
Back
Top Bottom