Nauza vitu vyangu vya ndani

Nauza vitu vyangu vya ndani

Nimekuja mbio huku nikijiapiza kuwa "kama atakuwa jinsi ya KE huyu muuza vitu vyake vya ndani namnunulia kitu chake cha ndani kwa bei yoyote", daaah kumbe wewe hukuwa na maana ya vile vitu nilivyoelewa mimi-basi badili tittle na iwe vyombo vya jikoni
 
Nimekuja mbio huku nikijiapiza kuwa "kama atakuwa jinsi ya KE huyu muuza vitu vyake vya ndani namnunulia kitu chake cha ndani kwa bei yoyote", daaah kumbe wewe hukuwa na maana ya vile vitu nilivyoelewa mimi-basi badili tittle na iwe vyombo vya jikoni
Mkuu, kitanda,meza ya Tv,makochi....kwako hivyo ni vyombo vya jikoni?!

JF ya sikuhizi imevamiwa sana na watoto
 
Watu mnadharau!!!
JF imevamiwa sana na vijana wa Instagram,hawa wote unaowaona wanaleta dharau na utani wanaishi kwa wazazi wao,kula kulala na kunya ndio wajuacho...JF ya siku hizi inasikitisha sana....
 
Thanks ndugu,pia inapangishwa mkuu kama unataka nicheki nikupe hii nyumba kwa kupanga....ina vyumba viwili(kimoja ni self a kingine sio self) sebure iko poa,choo cha public kipo nje.,nyumba ipo kwenye fensi na pembeni kuna gorofa ndogo anakaa mwenye nyumba hana shida na yeye hana familia kubwa,mpangaji anatakiwa kuwa na familia ndogo pia asiwe mtu wa kurudi usiku saaana kila mara na asiwe mlevi au msumbufu,kodi ni 210,000@mwezi,kodi yakuanzia ni ya miezi sita+ela ya udalali 210,000.

Nyumba ina mita/luku yake yakujitegemea,pia maji yapo 24/7 .

Kuna eneo kubwa la parking,mazingira tulivu saaaana.

Kutoka ilipo nyumba mpaka kituo cha mwendo kasi ni kwa bajaji moja tu na bajaji zinapatikana muda wote hadi usiku saa 6.

Usalama niwauhakika..

Karibu sana mkuu na kwa mtu yeyotr anayetaka.
Ela ya udalali? So ww ni dalali au kunadalali mwingine?
 
Chuck j heshimu uzi wangu bwana mdogo, pia nimejaribu kupitia nyuzi zako nimegundua unamsongo wa mawazo...
1482693402233.png
1482693413440.png
1482693424352.png

Binafsi nitakusaidia kazi ila jipange uje na heshima,maana naona hata kubeba mizigo hujapata.

Jifunze heshima kijana
 
JF imevamiwa sana na vijana wa Instagram,hawa wote unaowaona wanaleta dharau na utani wanaishi kwa wazazi wao,kula kulala na kunya ndio wajuacho...JF ya siku hizi inasikitisha sana....
Kweli imevamiwa ona kama haka katoto kamekuja kuuza picha ya friji humu jf.
siku nyingine katandaze barabarani machinga wenzio wako barabarani wanauza hadi picha za marais wa Afrika, na wachezaji wa mpira.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom