Nauza vitu vyangu vya ndani

Nauza vitu vyangu vya ndani

Hao walihamia dodoma wana beba mpaka njiti za vibiriti, sasa huyu anajitia eti mkoa mwingine huko huko TZ, Inamaana huko aendako ndio anapata bora zaidi au anaenda kuishi camp kwenye mahema?
Kuuza au kubeba ni choice ya mtu ndugu,usilazimishe nifanane na anayehamia dodoma.....pia hujalazimishwa kununua kwahyo kaa kimya,labda kama unashida nyingine......
 
Wee ni doctor wa mbwa mkuu? kula laki moja vyote
 
View attachment 449904View attachment 449905
Dstv decorder ni Tsh 60,000 View attachment 449906View attachment 449907
Friji ndogo samsung Tsh 250,000View attachment 449908Mtungi wa gas+jiko lake na meza yake ni 100,000TshView attachment 449909Meza ya TV ni Tsh 120,000View attachment 449910Kitanda na godoro lake (5 kwa 6) ni Tsh 250,000View attachment 449911Makochi mawili (kubwa moja la watu wawili na dogo moja la mtu mmoja) Tsh120,000.
Karibuni wakuu.

Vitu vipo kimara korogwe kwa mama mzaire.
Mawasiliano ni 0625567408
Umepatwa na nnm kuu
 
Ushoga ni mbaya sana
Acha hasira dogo, wewe si mgeni JF, si kila mchango utakufurahisha hapa, mingine ni kwaajili ya kufurahisha baraza, sasa kama una toa matusi kwa wachangiaji unafikiri utamuuzia nani hayo makorokoro yako? Baada ya wewe kuacha ushoga ndo unaona kila mtu mwenye mawazo tofauti na wewe ni shoga. Ngoja nikustahi nisiendelee zaidi ya hapa kwaheshima ya jina langu.

By the way, you dont have to reply this kwamaana nishakuweka kwenye ignore list kwahiyo sitaona reply zako or anything from you.
 
Acha hasira dogo, wewe si mgeni JF, si kila mchango utakufurahisha hapa, mingine ni kwaajili ya kufurahisha baraza, sasa kama una toa matusi kwa wachangiaji unafikiri utamuuzia nani hayo makorokoro yako? Baada ya wewe kuacha ushoga ndo unaona kila mtu mwenye mawazo tofauti na wewe ni shoga. Ngoja nikustahi nisiendelee zaidi ya hapa kwaheshima ya jina langu.

By the way, you dont have to reply this kwamaana nishakuweka kwenye ignore list kwahiyo sitaona reply zako or anything from you.
Kijana narudia kukuambia tena,acha upuuzi upuuzi.....JF ina majukwaa mengi hadi jukwaa na Jokes lipo,ukitaka utani nenda jukwaa hilo...usilete utani kwenye jukwaa la vitu serious-tumia akili kufikiri (japo najua hunazo).

Utani nenda jukwaa la utani,mambo serios acha kuleta jokes...
 
Karibuni kwa aliye "siriazi" tafadhari.
Sina cha kununua kwako labda km ungekuwa unauza hy TV ,ila nikiondoka bila kukusifia sitakuwa na amani nyumba yako iko very smart yaani NEATLY arranged wazungu wanasema!
 
Sina cha kununua kwako labda km ungekuwa unauza hy TV ,ila nikiondoka bila kukusifia sitakuwa na amani nyumba yako iko very smart yaani NEATLY arranged wazungu wanasema!
Thanks ndugu,pia inapangishwa mkuu kama unataka nicheki nikupe hii nyumba kwa kupanga....ina vyumba viwili(kimoja ni self a kingine sio self) sebure iko poa,choo cha public kipo nje.,nyumba ipo kwenye fensi na pembeni kuna gorofa ndogo anakaa mwenye nyumba hana shida na yeye hana familia kubwa,mpangaji anatakiwa kuwa na familia ndogo pia asiwe mtu wa kurudi usiku saaana kila mara na asiwe mlevi au msumbufu,kodi ni 210,000@mwezi,kodi yakuanzia ni ya miezi sita+ela ya udalali 210,000.

Nyumba ina mita/luku yake yakujitegemea,pia maji yapo 24/7 .

Kuna eneo kubwa la parking,mazingira tulivu saaaana.

Kutoka ilipo nyumba mpaka kituo cha mwendo kasi ni kwa bajaji moja tu na bajaji zinapatikana muda wote hadi usiku saa 6.

Usalama niwauhakika..

Karibu sana mkuu na kwa mtu yeyotr anayetaka.
 
Thanks kwa kujali, sisi tulishajipatia makazi muda kdg ila nimelichukua nikimpata mtu I'll let you know!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom