specialist88
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 1,140
- 619
- Thread starter
- #101
Mkuu nashukuru kwa ushauri,nitaufanyia kaziunamaanisha hapo unapokaa umeshawatangazia kama ulivotutangazia sisi wakashindwa....hiyo bei ni ya chini sana ukiwatangazia hapo mtaani haifiki jioni..
Thanks ndugu,pia inapangishwa mkuu kama unataka nicheki nikupe hii nyumba kwa kupanga....ina vyumba viwili(kimoja ni self a kingine sio self) sebure iko poa,choo cha public kipo nje.,nyumba ipo kwenye fensi na pembeni kuna gorofa ndogo anakaa mwenye nyumba hana shida na yeye hana familia kubwa,mpangaji anatakiwa kuwa na familia ndogo pia asiwe mtu wa kurudi usiku saaana kila mara na asiwe mlevi au msumbufu,kodi ni 210,000@mwezi,kodi yakuanzia ni ya miezi sita+ela ya udalali 210,000.
