maurice bernad
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 314
- 213
Tv ujasema mkuu
Hapana mkuu,tv siuzi nduguTV huuzi?
Piga simu tuongee mkuuNahitaji meza ya TV
Nahamia mkaoni ndugu zangu,nimepata ulaji mkoani nduguJamaa katandika Godoro vizuri kweli asee dahh, any way it's so paining nikumona mtu anauza vitu vyake vya ndani aseee
No.nimepata kazi mkoani....Hapo unahama au kuna jambo limekukumba
Mkuu siuzi Tv,nasepa nayo...nauza meza yake tu mkuuHiyo TV vipi haipo soon mkuu? Me nataka hiyo meza ya TV na TV whatsap me 0763772636 tuyajenge
Nikupe mia hamsin,,kama haina tatizoView attachment 449904View attachment 449905
Dstv decorder ni Tsh 60,000 View attachment 449906View attachment 449907
Friji ndogo samsung Tsh 250,000View attachment 449908Mtungi wa gas+jiko lake na meza yake ni 100,000TshView attachment 449909Meza ya TV ni Tsh 120,000View attachment 449910Kitanda na godoro lake (5 kwa 6) ni Tsh 250,000View attachment 449911Makochi mawili (kubwa moja la watu wawili na dogo moja la mtu mmoja) Tsh120,000.
Karibuni wakuu.
Vitu vipo kimara korogwe kwa mama mzaire.
Mawasiliano ni 0625567408
Naonhelea frijNikupe mia hamsin,,kama haina tatizo
Hapana mkuu,bei zangu ni fixed kaka,friji ni nzuri sana hiyoNikupe mia hamsin,,kama haina tatizo
Waafrika sisi,matatizo kwa mtu ndio habari tuipendayo kuisikiaMsikimbilie ku judge kuwa ana shida.
Huenda anasafiri kwenda mkoa mwingine ama nchi ingine au hata anaviondoa aingize mzigo mpya.
Unaelekea wapi? Sema mkoa labda wateja tupo unapokuja
haupo "siriazi" weweUtoto unakusumbua sana,jitathimini kijana....Nikuja mbio nikajua unauza utumbo maini filigisi figo n.k maana ndo vitu vyako vya ndani....kumbe furniture dah