Nauza ubuyu mtamu wa embe

Nauza ubuyu mtamu wa embe

Embe mbichi
Ark rose
Unga wa ubuyu
Rangi
Sukar
Maji
Unakata embe kama chips then unazianika mpaka ziwe kavu kabisa baadayapo ndo unaanza zipika unaipika sukar had itoe povu unatia vtu vyote isipokuwa embe unaweka mwisho. Litakuwa kama uji zito then unaweka sasa embe unafanya kama unasonga baada ya hapo zikikauka teyar kuliwa
Mimi nishakupata nataka wa kuonja,(Nitahitaji mwingi kwa kukuunga mkono)
 
Nauza ubuyu wa embe ambazo zimekaushwa na kupikwa kama ubuyu ni mtam sana kwa anaehitaj 0654695943 Tabora. Jumla na rejareja kwa bei nafuu sana 1000 kwa 500
8657de5057d184487e9de509277657bc.jpg
Upo tabora???
 
Nauza ubuyu wa embe ambazo zimekaushwa na kupikwa kama ubuyu ni mtam sana kwa anaehitaj 0654695943 Tabora. Jumla na rejareja kwa bei nafuu sana 1000 kwa 500
8657de5057d184487e9de509277657bc.jpg

[emoji115]Dear naruhusiwa kutumia hii namba yako ya simu kwa mambo yetu yale?[emoji7]
 
Nauza ubuyu wa embe ambazo zimekaushwa na kupikwa kama ubuyu ni mtam sana kwa anaehitaj 0654695943 Tabora. Jumla na rejareja kwa bei nafuu sana 1000 kwa 500
8657de5057d184487e9de509277657bc.jpg
Hongera sana kama ukijaribu kupeleka india kuna soko kubwa sana kule kuna mdau mmoja nilimsikia redioni yeye ni mtanzania ila anaishi kule india ndiyo biashara zake hizo pia anapelekaga na dagaa wale wa mwanza safi sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom