zaynab applw
Member
- Nov 30, 2016
- 55
- 38
- Thread starter
- #21
Ok kwahiyo.huo c ubuyu ni achari
Ok kwahiyo.huo c ubuyu ni achari
Shilawadu sikuwaona njoo nikuuzie uwapelekeeWapelekee SHIlAWADU[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hii Picha ya kwenye Avatar yako ndio wewe mwenyewe huyo??Shilawadu sikuwaona njoo nikuuzie uwapelekee
Halafu Kubwa na ndogo katika picha tunakua hatuelewi dada Zaynab,1000 kubwa kwa 500 hizo ndogo
Mimi nishakupata nataka wa kuonja,(Nitahitaji mwingi kwa kukuunga mkono)Embe mbichi
Ark rose
Unga wa ubuyu
Rangi
Sukar
Maji
Unakata embe kama chips then unazianika mpaka ziwe kavu kabisa baadayapo ndo unaanza zipika unaipika sukar had itoe povu unatia vtu vyote isipokuwa embe unaweka mwisho. Litakuwa kama uji zito then unaweka sasa embe unafanya kama unasonga baada ya hapo zikikauka teyar kuliwa
[emoji8] [emoji8] [emoji8] unapatikana wap loveMimi nishakupata nataka wa kuonja,(Nitahitaji mwingi kwa kukuunga mkono)
Vip kwani[emoji19]Hii Picha ya kwenye Avatar yako ndio wewe mwenyewe huyo??
Nipo Asia lkn nina watu wanaweza kukutafuta kwa niaba yangu..[emoji8] [emoji8] [emoji8] unapatikana wap love
Hamna,Vip kwani[emoji19]
Upo tabora???Nauza ubuyu wa embe ambazo zimekaushwa na kupikwa kama ubuyu ni mtam sana kwa anaehitaj 0654695943 Tabora. Jumla na rejareja kwa bei nafuu sana 1000 kwa 500![]()
Nauza ubuyu wa embe ambazo zimekaushwa na kupikwa kama ubuyu ni mtam sana kwa anaehitaj 0654695943 Tabora. Jumla na rejareja kwa bei nafuu sana 1000 kwa 500![]()
Ndio nipo taboraUpo tabora???
Mambo gani[emoji115]Dear naruhusiwa kutumia hii namba yako ya simu kwa mambo yetu yale?[emoji7]
nambie ntapataje hivi vifungashioNauza ubuyu wa embe ambazo zimekaushwa na kupikwa kama ubuyu ni mtam sana kwa anaehitaj 0654695943 Tabora. Jumla na rejareja kwa bei nafuu sana 1000 kwa 500![]()
Uko wap dianambie ntapataje hivi vifungashio
dar nimegundua upo tabora ngoja ntatafuta asanteUko wap dia
Hongera sana kama ukijaribu kupeleka india kuna soko kubwa sana kule kuna mdau mmoja nilimsikia redioni yeye ni mtanzania ila anaishi kule india ndiyo biashara zake hizo pia anapelekaga na dagaa wale wa mwanza safi sanaNauza ubuyu wa embe ambazo zimekaushwa na kupikwa kama ubuyu ni mtam sana kwa anaehitaj 0654695943 Tabora. Jumla na rejareja kwa bei nafuu sana 1000 kwa 500![]()
Ahhhhhh!!!......Acha kujifanya mtoto mdogo dear wewe umeshakua ujue![emoji30]Mambo gani
Jumapili nitakua hapo kanyenye Oxygen lunch nitakutafta nikuunge kdgoNdio nipo tabora