zaynab applw
Member
- Nov 30, 2016
- 55
- 38
- Thread starter
- #61
Karibu sana bidhaa yangu unaweza ipata amur supermarket tabora mjnHapa umeleta mada mbili ubuyu ni matunda yatokanayo na mti uitwao mbuyu, na maembe yanatokana na mti uitwao mwembe.
Sasa unaposema ubuyu wa maembe, unachanganya watu, kwamba itakuwa na test gani. Kwakuwa kesho ninakuja hapo mjn Tbr, nielekeze mtaa
unapouzia bidhaa zako hapo mjini, ili nije nijiridhishe "live"