Nauza ubuyu mtamu wa embe

Nauza ubuyu mtamu wa embe

Hii Inawahusu SHILAWADU ,tena kwa vile ni wa maembe watajilamba midomo. please wape wa elfu 5 gharama kwangu.
 
Tuwekee TIN namba yako tutizame kama unalipa kodi wewe.... na make sure unarisiti kwa kuuza kwako Jumla sio mfanya biashara mdogo anymore
 
Hongera sana kama ukijaribu kupeleka india kuna soko kubwa sana kule kuna mdau mmoja nilimsikia redioni yeye ni mtanzania ila anaishi kule india ndiyo biashara zake hizo pia anapelekaga na dagaa wale wa mwanza safi sana
Ahsante sana kwa ushaur mzur nitajitahid maana ndo naanza kidogo kidogo
 
Ubuyu Wa embe mtamu sana,sijaula siku nyingi
 
kama ni embe unakuwaje tena ubuyu? sema nauza embe
Miss Natafuta
Huu ubuyu wa embe upo zamani sana mbona mara yangu ya kwanza kula ilikuwa Mombasa, Kenya mitaa ya Kibokoni. Mleta mada wala hajakosea jina lake ndio unavyoitwa ni mtamu hatari[emoji39] [emoji6]


Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Miss Natafuta
Huu ubuyu wa embe upo zamani sana mbona mara yangu ya kwanza kula ilikuwa Mombasa, Kenya mitaa ya Kibokoni. Mleta mada wala hajakosea jina lake ndio unavyoitwa ni mtamu hatari[emoji39] [emoji6]


Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Ahsante bora umewafahamisha yah sana mombasa zenj na tanga
 
Nauza ubuyu wa embe ambazo zimekaushwa na kupikwa kama ubuyu ni mtam sana kwa anaehitaj 0654695943 Tabora. Jumla na rejareja kwa bei nafuu sana 1000 kwa 500
8657de5057d184487e9de509277657bc.jpg
Hapa umeleta mada mbili ubuyu ni matunda yatokanayo na mti uitwao mbuyu, na maembe yanatokana na mti uitwao mwembe.
Sasa unaposema ubuyu wa maembe, unachanganya watu, kwamba itakuwa na test gani. Kwakuwa kesho ninakuja hapo mjn Tbr, nielekeze mtaa
unapouzia bidhaa zako hapo mjini, ili nije nijiridhishe "live"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom