Nauza suruali za kadeti

Nauza suruali za kadeti

mkuu tunakuomba uweke picha nzuri ,hizi picha zako hazionekani ,ndiyo maana unawapa watu maneno .
Sawa, comrade hizi hapa
20170727_060547.jpeg
P1110817-1.jpeg
2017-07-27+07.13.jpg
20170727_060605.jpeg
 
Kwa mfano nikihitaji tano unanipa discount kiasi gani au utaniuzia hiyo hiyo 23,000.
Nahitaji za kuvaa sio biashara

nothing is easier than blaming others for your own problems
Ok, kimsingi comrade nilisha ifanyia discount hapo ndio mana nauza 23,000 na ktk hiyo hiyo hela nakuletea mpaka kwako
 
Ok, kimsingi comrade nilisha ifanyia discount hapo ndio mana nauza 23,000 na ktk hiyo hiyo hela nakuletea mpaka kwako
Kwangu huwezi kuleta kwa kua ni nje ya mkoa wa Dar es salaam.
Lakini hata huku nilipo bei ni around 23000 sasa nilitegemea huko mjini kutakua na discount ya maana kumbe kama huku nilipo tu.
Hizo Diesel na Jeep nanunua 23000-24000 mkuu

nothing is easier than blaming others for your own problems
 
Kwangu huwezi kuleta kwa kua ni nje ya mkoa wa Dar es salaam.
Lakini hata huku nilipo bei ni around 23000 sasa nilitegemea huko mjini kutakua na discount ya maana kumbe kama huku nilipo tu.
Hizo Diesel na Jeep nanunua 23000-24000 mkuu

nothing is easier than blaming others for your own problems
Huku inategemea kama hizo nazouza kuna maduka wanauza hadi 30k ila mimi nimefanya favour sitak faida kubwa kwakuwa najua hali ilivo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom