Hii pesa ngap boss?Staff jeans kaliii
Size 30 mpaka 38View attachment 1349464
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii pesa ngap boss?Staff jeans kaliii
Size 30 mpaka 38View attachment 1349464
Hii tsh 21,000
Mwanza vp mwapatkana wapi?Jean's tsh 18,000
HAICHUJI HATA KIDOGO.
whatsApp no 0657438581 au unaweza kunitumia meseji.View attachment 1353037
Comrade! Mwanza sina duka nauzia online (mtandaoni).
kama ni china corona vipi mkuu?Aina tofaut tofaut zingine marekan, china
Hahaha!kama ni china corona vipi mkuu?
Tatizo kivipi?
Umeelewa hapo juu nilicho kuandika chief?Tutajie location tuje kufuata mkuu mimi niko dar hapa hapa nataka nisevu gharama za kutumiana
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeelewa hapo juu nilicho kuandika chief?
Sijaandika gharama za kutuma mosi pia nimeshatoa muongozo ninauza mtandaoni hizo gharama za kutumiana sijui umetoa wapi
Shukrani...!Anhaa..Hapo nimekupata boss... nimeukutia katikati huu uzi wako ndio maana sikusoma mwanzo ya uzi boss... sikujua delivery mode zako ziko vipi... nitakucheki kwa hizo contact , sorry boss
Sent using Jamii Forums mobile app
Una whatsapp?
Staff jeans bei gani?Office jeans wengine wanaziita
{staff jeans}
Unavaa ofisini, kanisani
ktk sherehe mbalimbali na sehemu kadha wa kadha hizi, zipo kama kadeti sio ngumu hata ufuaji wake ni rahisi View attachment 1354533
Na huu msimu wa wapenda nao zile dinner/out za kutoka na mwenzio mzee ukivaa hizi utatokelezeaa!