dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,802
- 20,296
- Thread starter
- #381
Dark blue
Polo ya kuvutika pia
Polo ya kuvutika pia
Duka liko wapi tuje tuone?Jeep ya kuvutikaView attachment 1106774View attachment 1106775
Mkuu nahitaji mbili Bulue na nyeusi size 34, nipo kimara, jumatatu jioni nahitaji!
Duka liko wapi tuje tuone?
Kwa hiyo mtu akitaka anafanyaje?Kamanda bado ila panapo majaliwa kabla ya mwaka kuisha nitafungua
Za Kutoka Marekani ni Tsh ngapiAina tofaut tofaut zingine marekan, china
Miji ya wasukuma kama kahama, ushirombo, katoro, dutwa, nk. Huko kote kuna minada karibia kila wiki ukienda huko unauza tena kwa bei mara mbili ya unayouza sasa wasukuma wanapenda sana hayo mambo tena upeleke nyingi za kufanana wanapenda wavae zinazofanana mtaani
Sent using Jamii Forums mobile app

Kilambalambila guestvhouseMkuu mi nlifikiri ni zile za type yao za kuendea kwenye disco ya Budagala
Sent using Jamii Forums mobile app
Comrade, una niambia sample unazohitaji nakuletea kwa walio ndani ya dar hata nje tunaweza panga namna ya kukufikishia mzigoKwa hiyo mtu akitaka anafanyaje?
Za Kutoka Marekani ni Tsh ngapi
Na una kadet Suruali tu?Comrade, una niambia sample unazohitaji nakuletea kwa walio ndani ya dar hata nje tunaweza panga namna ya kukufikishia mzigo
Halafu wengi ni magovi.hivi kwann msukuma yule pure msukuma hata awe msomi vip bado wanakuwaga washamba jaman!alafu wajuajiiii! ukisikia habari za wasukuma mi huwa nakufa kwa kucheka! ukienda mfano ifakara ukaenda mashineni ukawakuta wasukuma...akatokea kukupenda hahahaa unaomba hata gunia 5anakupa!wanahadaika wale sijui kwann!kha
Na una kadet Suruali tu?
Au na nini kingine?
Mkoani tunapataje
Kadeti umeweka bei, Mbona hizi huweki beiNa Jean's pia shati za mikono mirefu kama hiziView attachment 1107179View attachment 1107180View attachment 1107182
Hizo tsh19,000Kadeti umeweka bei, Mbona hizi huweki bei