MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,950
- 26,049
tena ukitaka uinjoy waongeleshe kisukuma nhahahah!
Aisee, basi ngoja nianze kujifunza kisukumatena ukitaka uinjoy waongeleshe kisukuma nhahahah!
Ipo 30 ila bossKtk stock yako una saizi 29 tufanye biashara
Sawa, ngoja nitafanya hivyoweka picha nzuri mkuu,umepigia gizani
Haya bana nimekupata comradeMiji ya wasukuma kama kahama, ushirombo, katoro, dutwa, nk. Huko kote kuna minada karibia kila wiki ukienda huko unauza yena kwa bei mara mbili ya unayouza sasa wasukuma wanapenda sana hayo mambo tena upeleke nyingi za kufanana wanapenda wavae zinazofanana mtaani
Sent using Jamii Forums mobile app
Zipo size 30, 32, 34, 36, 38, pia 40
AiseeMiji ya wasukuma kama kahama, ushirombo, katoro, dutwa, nk. Huko kote kuna minada karibia kila wiki ukienda huko unauza yena kwa bei mara mbili ya unayouza sasa wasukuma wanapenda sana hayo mambo tena upeleke nyingi za kufanana wanapenda wavae zinazofanana mtaani
Sent using Jamii Forums mobile app
Teh teh teh subiri nitafute Picha fulani ya Sizonje aliyoivaa wakati yupo Waziri kipindi cha Mkapa ndio utacheka mpaka mbavu ziume.mhh kadeti hzi za kijanja mkuu!nampenda mwanaume anaevaa kadeti!hizi sio za minadani!manguo ya kisukuma yanajulikana unaweza kukaukiwa koo ukiziona
Hauko siriaz..wapi contactsWandugu nauza kadeti tsh.23,000 nipo dar es salaam ukiwa dar nakuletea ulipo hizo ni baadhi ya kadet karibuniView attachment 547969View attachment 547970View attachment 547971View attachment 547972View attachment 547973
Teh teh teh subiri nitafute Picha fulani ya Sizonje aliyoivaa wakati yupo Waziri kipindi cha Mkapa ndio utacheka mpaka mbavu ziume.
Hahahah....gheete gheetehahahahaja nimecheka sana. wasukuma na nguo za dukani
Miji ya wasukuma kama kahama, ushirombo, katoro, dutwa, nk. Huko kote kuna minada karibia kila wiki ukienda huko unauza tena kwa bei mara mbili ya unayouza sasa wasukuma wanapenda sana hayo mambo tena upeleke nyingi za kufanana wanapenda wavae zinazofanana mtaani
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanazipenda sana tena ukiwapatiabza kufanana wanavaa kama sare mtaanihahahahaja nimecheka sana. wasukuma na nguo za dukani
Huko Ifakara sample tu, Mwanza ni jiji lakini njoo ujionee full population. Asilimia kubwa ya wajanja Mza ni makabila ya kujahivi kwann msukuma yule pure msukuma hata awe msomi vip bado wanakuwaga washamba jaman!alafu wajuajiiii! ukisikia habari za wasukuma mi huwa nakufa kwa kucheka! ukienda mfano ifakara ukaenda mashineni ukawakuta wasukuma...akatokea kukupenda hahahaa unaomba hata gunia 5anakupa!wanahadaika wale sijui kwann!kha
Wanazipenda sana tena ukiwapatiabza kufanana wanavaa kama sare mtaani
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanazipenda sana tena ukiwapatiabza kufanana wanavaa kama sare mtaani
Sent using Jamii Forums mobile app